Huu ushuzi apeleke kwao chato hajui anapita tuu, wanaotaka kusoma wasome no matter what aache upuuzi wake
Mimba kwenye makende yakoBibie mbona umepaniki hivyo...?
Una mimba?
Mimba kwenye makende yako
Yuko sawa kabisa kama mwanaume miaka 30 kwann mwanamke yy aendelee na shule uonevu uo kwa wanaume
Nyie watu mna matatizo in common. Angetangaza kuwa wenye mimba / waliojifungua wataendelea kusoma , mngemsimanga zaidi kuwa amewapa watoto ruksa ya ngono. Ila tatizo nyie ni watu wa kupinga tu kila kitu.
Hongera Magufuli. Mimba siyo ajali inaepukika.
Spirit uliyonayo hapa kutetea wfnz wabebe mimba ungeitumia kuhimiza waepuke mimba na mazingira yake
Kauli zake nyingi ni za ubinafsi...kauli kama serikali yangu,utawala wangu,sitatoa fedha kusomesha wazazi,mara anasema alichukua form mwenyewe hakusaidiwa na mtu....kuna umimi fulani kwenye kauli zake..kauli zinatokana na mawazo na mawazo ndio tabia ya mtu..mtu hawezi kuwa tofauti na mawazo yake..mawazo ya watu wa namna hii hupelekea tabia ya kutaka kunyenyekewa na kuabudiwa,hawataki kupingwa wala kumskiliza mtu mwingine,atajiaminisha hii nchi ni yake na hamna nwingine kama yeye..na hapo ndio itakuja mwanzo wa uraisi wa milele..Kwenye huu mjadala tuangalie lugha inayotumika.
Anasema, kwa msisitizo kwamba sitasomesha. Sawa tunajua yeye ni Rais wa nchi. Lakini anasomesha yeye kama Pombe kwa hela yake au ni serikali anayoingoza?
Kusema hatasomesha au serikali yake haitasomesha kuna tofauti kubwa kwenye mentality ya kiongozi.
Inaleta picha ya jinsi anavyoyachukulia madaraka aliyopewa.
Je anajiona ni mtumishi wa watu au wananchi6ndiyo wanaomtumikia?
Kuna kila dalili za ungwazi wa muyaya kama tunamkumbuka Kamuzu Baada.Kauli zake nyingi ni za ubinafsi...kauli kama serikali yangu,utawala wangu,sitatoa fedha kusomesha wazazi,mara anasema alichukua form mwenyewe hakusaidiwa na mtu....kuna umimi fulani kwenye kauli zake..kauli zinatokana na mawazo na mawazo ndio tabia ya mtu..mtu hawezi kuwa tofauti na mawazo yake..mawazo ya watu wa namna hii hupelekea tabia ya kutaka kunyenyekewa na kuabudiwa,hawataki kupingwa wala kumskiliza mtu mwingine,atajiaminisha hii nchi ni yake na hamna nwingine kama yeye..na hapo ndio itakuja mwanzo wa uraisi wa milele..
Kuna kila dalili za ungwazi wa muyaya kama tunamkumbuka Kamuzu Baada.
Lazima tupinge hilo kwa nguvu zote