Rais Magufuli Serikali yako ina baadhi ya watumishi ni wasaliti/waasi wa viapo vyao vya kiutumishi

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,363
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dada anazitangaza kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
 
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni kifo kimya kimya tu hakuna jinsi.
Yawezekana na wewe ni mmoja wao! Take care!
 
Ungeweka na mifano ya hayo mambo ningekuelewa otherwise usiamini kila udaku unaopostiwa insta ni kutoka serikalini.
Laiti mtu angezijua siri za nchi japo kama punje ya haradali tu basi wengi wangezimia.

Ukienda Kwenye vijiwe vya kahawa pale kariakoo na posta kila mtu anajidai anayajua mambo ya Ikulu...hiyo haiwafanyi wao kujua siri za nchi...Trust me siri za nchi ziko salama ...hizo zinazoitwa siri na wadaku ni udaku tu...na kulishana matangopori.
 
Una maoni gani ya kuapishwa mbele ya mamilioni ya Watanzania na kuahidi kuilinda na kuiheshimu katiba ya Tanzania kisha kutotimiza ahadi yake hiyo!? Je, huu nao si usaliti kwa Watanzania?



Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni kifo kimya kimya tu hakuna jinsi.
 
Una maoni gani ya kuapishwa mbele ya mamilioni ya Watanzania na kuahidi kuilinda na kuiheshimu katiba ya Tanzania kisha kutotimiza ahadi yake hiyo!? Je, huu nao si usaliti kwa Watanzania?


Kipengele kipi cha katiba kilichokiukwa?
 
Mkuu weka hata kapicha kamoja kanakomwonyesha mtumishi wa serikali akitoa siri VINGINEVYO ww ni mnaafiki km alivyosema John Cena
 
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Msema ukweli ni Mpenz wa Mungu.waache waseme ukwel kma boss wao anavofanya
 
Ingekuwa vyema zaidi kama ungeweka na siri hizo zilizo vujishwa, ingawa kuna uwezekano kukawa na utofauti wa definition ya neno "siri". Mfano unatumwa waraka wa mwangosi flani kwa watumishi wa halmashauri flani, la ajabu waraka huo huo ni siri hata kwa hao watumishi!!!!!
 
na wewe unaamini kuwa kusakwa kwa muhalifu flani ni siri?
Siongelei issues ya MTU Fulani kusakwa kuwa ni siri au sio siri.

Nachosema kwanini Kuna kutoa siri za Serikali kwa wasiowahusika wa siri hiyo toka ktk baadhi ya Ofisi na maofisa wa Serikali na huo ni mfano.

Document imegongwa muhuri wa Siri lakini inazagaa uraiani?? Kwanini??
 
Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.


Kiswahili kinakuja na misamiati mingi inakuwa ngumu kuuelewa ujumbe
 
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Siri gani ya nchi mkuu?Mbona hadi Leo hatujui siri ya kung'ang'ania mwenge?Ina maana hao wadukuzi hawajawahi kuidukua?Au unataka wenzio walio karibu na Rais watumbuliwe ili upewe nafasi wewe?
 
Wewe mwehu tu kaungane na wakina bashite wenzako kutetea uovu mnatetea huyu dereva wa lori aliyekosa mwekekeo
 
Kama na Mimi nipo nastahili adhabu ya 'kifo'

Mkuu kwa ww jinsi unavyojipendekeza sio rahisi uwe ni ww. Maana sioni kama una ujanja wowote hapa mjini zaidi ya kutandikia watu jamvi ili watoto waende chooni.
 
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Umemalizia vibaya Lakini hoja yako ni ya msingi mno!
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.

Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k

Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.

Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dads anazitanga kwa umma.

Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.

Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi


Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.

Umemalizia vibaya Ila una hoja ya msingi sana!
Binafsi sifurahishwi na utendaji wa serikali ya ccm tena huu wa awamu Hii ndio kabisa.
Lakini Kuna mengi mazuri pia wameyafanya huwezi kukataa hilo.
Linapokuja suala la classified information ku-leal hilo hakuna msamaha, yeyote afanyaye hayo ni msaliti kwa Taifa Lake. Hakuna maslahi mapana kwa yeyote yule endapo maslahi hayo yana-compromise maslahi mazima ya Nchi.
Ni Kweli kwa yeyote atakayekamatwa ashtakiwe na afungwe, au aadhibiwe kwa kadri sheria zetu zinavyoongoza!
 
Back
Top Bottom