Nakumbuka Kuna siku mmoja huyo mdada wa USA alikuwa ana request atumiwe taarifa kutoka ktk faili la mmoja wa viongozi kutoka Ofisi za uhamiaji.Mazoea yaliyokuepo awamu liyopita ndo uozo wa haya mambo bado watu wanatumia huyo mwanya kuuza hizo siri za serikali, itachukua muda kuwaondoa hao wasaliti
yeye mwenyewe mbona ni msaliti kwa wadanganyikaKatika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.
Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k
Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.
Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dada anazitangaza kwa umma.
Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.
Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi
Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Sasa kama unajua hatuhusiki unatuandikia ili iweje?Kama huusiki huwezi kuyajua hayo!
Katika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.
Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k
Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.
Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dada anazitangaza kwa umma.
Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.
Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi
Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Endeleeni kuuwa tu wafungeni watu kwenye visandarausi na kuwa tupate mto Ruvu wauweni kama mulivyomuuwa Ben nanyi mutakuwa vivyo kimya kimya hadi makaburinu yenu yasijulikane maana mumetangaza vita na wananchiKatika awamu hii ya Tano mambo mengi tusiyoyazoea yamefanyika ktk Serikali ukilinganisha na awamu zilizopita.
Tumeona ziara za kushitukiza maeneo nyeti,utumbuaji wa majibu kwa viongozi,safari za Nje kusimamishwa kwa viongozi bila kibali toka ikulu n.k
Tuomeona siri za ndani za Serikali kuanza kuvuja kwa wahusika au Hata sio wahusika mapema sana na Hata kingine zisizostahili kutolewa Nje Sasa zinatolewa tu.
Mfano huyu Dada Mange Kimambi amekuwa akitoa taarifa za ndani za Serikali zile nyeti ambazo sidhani kama amelala ameota tu ila lazima Kuna watu wa Karibu na Rais wanaotoa hizo taarifa na huyu dada anazitangaza kwa umma.
Sasa ktk Serikali yoyote ile Kuna mambo ya kuwaambia umma na Kuna mambo ni ya kiofisi tu hata umma wakifahamu sio shida lakini Kuna mengine ni ya Ofisi tu na tena ni SIRI na hairusiwi kutoka Nje kwa njia yoyote.
Sasa watumishi wasio waaminifu wamekuwa wakizitoa hizo taarifa za SIRI kitu ambazo ni hakiruhusiwi kabisa na hao ndiyo wasaliti au waasi
Mh Rais adhabu yao hao wakikamatwa ni 'kifo kimya kimya' tu hakuna jinsi.
Hasa wale wazee wenzangu wa kula kwa kupigana fitna na maju ngu.. ..wanaopenda kukaa viti vya mbele kwenye sherehe. Wanaiumiza sana Tanzania kwa binafsi yaoNi kweli kabisaa. Kuna watu ni wanafiki sana.
Munachekesha kweli Magufuli makonda lemutuz munatukana watu matusi ya nguoni munadharilisha watu hata huyo Mange mumemtukana sana kibao kikiwageukia hamtakiAwafukuze wote kazi wa kitengo/ofisi husika kwa kutoa habari za siri, nafikiri wakipewa,siku moja mbili watatajana wenyewe wasipotajana wote waondolewe, wengine wafike kupata kazi zao.
Ila kama ICT na upelelezi nchini wapo vizuri watadaka tu kiurahisi
Serikali inahitaji hackers pia, watu wanatumia mitandao vibaya sanaaaa esp kuandika viongozi vibaya na kuwatukana.
Wao watakuangalua tu au nao watawapa kiberiti ili kila mmoja aone motoNakuunga mkono mkuu. Kukaa na watu ambao wana collude na watu ili ushindwe, hawa ukishawabaini dawa ni moja tu kuwatia kiberiti ili waruke na kukanyagana
Muasi au msaliti ndani ya Serikali adhabu yake ni 'kifo' tu hakuna excuse!!Endeleeni kuuwa tu wafungeni watu kwenye visandarausi na kuwa tupate mto Ruvu wauweni kama mulivyomuuwa Ben nanyi mutakuwa vivyo kimya kimya hadi makaburinu yenu yasijulikane maana mumetangaza vita na wananchi
Hakuna kiongozi mbovu ila kuna watumishi au viongozi wanaokiuka viapo vyao vya kiutumishi kwa malengo na madhumuni wanayoyajua wao.ukiona hivyo ujue uongozi ndio mbovu
Hio KIFO mbona umewekea alama za kufunga na kufungua semiKama na Mimi nipo nastahili adhabu ya 'kifo'
Ha ha we mwenyewe ni marehemu miaka arubaini hufikiMuasi au msaliti ndani ya Serikali adhabu yake ni 'kifo' tu hakuna excuse!!
Unajulikana wewe ni yule anayeendesha mishe ni ya kufunga watu kwenye visandarusi unaota siri kwa vile umeehukaHakuna kiongozi mbovu ila kuna watumishi au viongozi wanaokiuka viapo vyao vya kiutumishi kwa malengo na madhumuni wanayoyajua wao.
Na hao ndiyo wakipatikana adhabu yao ni kuwapoteza kabisa au kuwadhifadhi machimbo mpaka fore brain na limbic system zistop kufanya kazi.
Ukiuua na wewe lazima ufe tu ndio theory ya damu za watu ilivyoMuasi au msaliti ndani ya Serikali adhabu yake ni 'kifo' tu hakuna excuse!!