Rais Magufuli: Nitahamia Dodoma mwaka huu, 2018

Rais Magufuli: Nitahamia Dodoma mwaka huu, 2018

Dodoma hata uiunge kwa kachumbari haiwezi kunoga kamwe, tunamtakia safari njema, na akubali kukaa huko sio kama kiinimacho cha PM
 
Ushauri wangu asubiri kwanza ujenzi wa Uwanja wa ndege na train ya SG vikamilike kwanza ndio ahamie ili kuwawezesha wageni na mabalozi kufika Dodoma pasipo vikwazo
 
Safari njema foleni ipungue dar,pia tupate Uhuru wa kupunga upepo beach Jirani kama ilivokuwa kabla
 
Hili zoezi la kuhamia Dodoma lilikua mtihani mkubwa sana. Pongezi kwa Mheshimiwa raisi kwa kufikia hatua hii.
Mkuu usitoe pongezi hadi umuone kahamia hapo Idodomya.Pili ipite miezi zaidi ya sita bila kukanyaga Dar.
Sisi ni mashuhuda wa kuhamia Dodoma miaka ya 73,74,75.Nyerere alimsukumia Waziri mkuu na makamu wa pili wa raisi Mzee Rashidi Kawawa akahamia,lakini Mzee mwenyewe Mwl.Nyerere licha ya kujengewa Ikulu huko Chamwino alichomoa dakika za majeruhi.Na kufanya dhana ya kuhamia Dodoma kituko.
Usishangae Dodoma ikageuka House warm up kwa muda mrefu,huku Dar ikibaki ni" Capital per se"
 
Mkuu usitoe pongezi hadi umuone kahamia hapo Idodomya.Pili ipite miezi zaidi ya sita bila kukanyaga Dar.
Sisi ni mashuhuda wa kuhamia Dodoma miaka ya 73,74,75.Nyerere alimsukumia Waziri mkuu na makamu wa pili wa raisi Mzee Rashidi Kawawa akahamia,lakini Mzee mwenyewe Mwl.Nyerere licha ya kujengewa Ikulu huko Chamwino alichomoa dakika za majeruhi.Na kufanya dhana ya kuhamia Dodoma kituko.
Usishangae Dodoma ikageuka House warm up kwa muda mrefu,huku Dar ikibaki ni" Capital per se"

Kwa Nguvu anaayotumia naamini Kabisa atakwenda. Alishasema angehamia 2020 lakini kama amerudisha siku za kuhamia nyuma ni dalili nzuri kwamba ataenda.

Ila tukubali tukate ni kazi kubwa sana imefanyika kwasababu tangu mwanzo hakuna aliyeamini hili.

Pia kuna kazi kubwa sana mbele yatu/yake kuifanya DODOMA iwe kama Dar ilivyosasa.
 
W
Kwa Nguvu anaayotumia naamini Kabisa atakwenda. Alishasema angehamia 2020 lakini kama amerudisha siku za kuhamia nyuma ni dalili nzuri kwamba ataenda.

Ila tukubali tukate ni kazi kubwa sana imefanyika kwasababu tangu mwanzo hakuna aliyeamini hili.

Pia kuna kazi kubwa sana mbele yatu/yake kuifanya DODOMA iwe kama Dar ilivyosasa.
Wapande miti mingi sana,na kuboresha huduma ya maji kwa kiwango kikubwa katika eneo lote la Central Tanzania.
 
Inawezekana wakahamia hao mabalozi Dodoma
Na inawezekana pia wengine wakaona kwa usalama wao bora wabaki karibu na bahari
Baadhi wataelewa
 
Hivi anategemea US Embassy ihame Dar kwenye logistical support kubwa?
Thubutuuu. Hivi kuna mawazo yeyote ya sirikali hii yamewahi kuwa na matokeo chanya ? tusubiri tu ila nahisi hakuna cha maana kitakochookea. Il kwa Dar tutapumua sana
 
Bora ahamie Dodoma tufunguliwe njia yetu ya kwenda gymkhana maana enzi za jakaya tulikuwa tunakatiza tu na na magari yetu Barabara ya nyuma ya ikulu sasa hv wameifunga.
 
Back
Top Bottom