Awamu hii ya tano imejidhihisrishia kwamba wao ni watu wa
quality na siyo
Quantity au kwa kikwetu tunawekeza zaidi
kwenye ubora na siyo uwingi tu wa vitu, mfano hai watu wanapiga kelele mizigo kupungua Bandarini ambapo ni kweli lkn kwa mujibu wa TRA
tunakusanya mapato mengi zaidi kuliko hapo mwanzo hivyo hapo utaona ni
quality na siyo
quantity, hata kwenye Utalii itakuwa hivyo hivyo
watakuja watalii wachache kiasi lkn wenye uwezo mkubwa wa kifedha na siyo wengi lkn wasiokuwa na fedha za kutumia, hivyo hata hapa pia ni
quality na siyo
quantity!
Raisi Magufuli ni
genius, na mtu
genius huchagua watu ma
genius pia!
Hii ndiyo TanZania mpya bhana!