Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Habar wakuu,
Rais Magufuli yupo ziarani mkoani Arusha na sasa anahutubia jimbo la Arumeru. Wakati akiwa anaendelea kuhutubia amesema ana uchungu na watu wa Arumeru Mashariki na kusema anatamani kuwa mbunge wa Arumeru kisa mbunge wa jimbo hilo, dogo janja hakuhudhuria mkutano wake.
NB: Hii imekaaje wadau, Rais anatamani kuwa mbunge hivi inaingia akilini kweli?
JIBU LA JOSHUA:
Rais Magufuli yupo ziarani mkoani Arusha na sasa anahutubia jimbo la Arumeru. Wakati akiwa anaendelea kuhutubia amesema ana uchungu na watu wa Arumeru Mashariki na kusema anatamani kuwa mbunge wa Arumeru kisa mbunge wa jimbo hilo, dogo janja hakuhudhuria mkutano wake.
NB: Hii imekaaje wadau, Rais anatamani kuwa mbunge hivi inaingia akilini kweli?
JIBU LA JOSHUA: