mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,053
Mimi ni mjasiria mali wa Private Nilikuwa na watu 108 Sasa Nina watu 12 kima Cha chini kilikuwa Tsh 400000 kima Cha juu 2.4ml nimepunguza watu maisha yaende mbele. Nimewapunguza nawaonea huruma na najionea huruma. Nilikuwa naingiza kontena 28 Kwa mwaka Sasa naingiza kontena 8 Kwa mwaka .Nilikuwa gari na mbili Za matumizi Nina moja na natumia bajaji zaidi .Pamoja na ugumu huu namuunga mkono Magufuli nikiamini maumivu yangu haya ni faida ya Tanzania ya baadae