Tena hata mapambio huimba off key!Sasa unamtag Kawe Alumni anajua nini zaidi ya mapambio?
Na njia sita hadi Chalinze!!Kama yeye alivyoufuta mradi wa bandari ya bagamoyo
Mambo mengine si ya kuuliza.Mkuu we umefuta mingapi?? Afu miezi 40 kuanzia sasa si itakuwa Uchaguzi tayari au kuna uhakika wa kushinda 2020??
Rais Magufuli ameeleza kuwa alifanya juhudi za makusudi kwa kumtumia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Patrick Mfugale, kukamilisha mchoro wa daraja la juu kwenye ziwa Victoria eneo la Kigongo Busisi lenye urefu KM 3.2.
View attachment 1284588
Akiongea katika hafla ya uwekaji wa jiwe la Msingi leo Desemba 7, 2019, Rais Magufuli amesema, mradi huo ni muhimu na anamshukuru Mfugale kwa kukamilisha mpango mapema pamoja na Bunge kwa kupitisha bajeti ya ujenzi huo.
‘Nimeona nimtumie Mfugale haraka haraka, nikamwambia kamilisha mapema katika kipindi changu cha Urais inawezekana muda wangu ukiisha anaweza akaja Rais mwingine akaufuta huu mradi, na huyu Mfugale amekuwa akifanya vizuri katika miradi yote ya madaraja nchini’, ameeleza.
Aidha Rais Magufuli amewaasa wananchi wa Mwanza hususani wa Wilaya za Sengerema na Misungwi ambapo mradi huo upo kuutumia vizuri kwa kunufaika kiuchumi kwani ni mradi muhimu kwa watanzania wote na nchi jirani.
Awali Mfugale alieleza kuwa mradi huo unagharimu Shilingi Bil. 699, ambazo zote ni fedha za ndani na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 40.
Mfugale hata kama ukisifiea kiasi gani kama kwenu hujashawishi uweke kumbukumbu yako ni bure kabisa
Rais Magufuli ameeleza kuwa alifanya juhudi za makusudi kwa kumtumia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Patrick Mfugale, kukamilisha mchoro wa daraja la juu kwenye ziwa Victoria eneo la Kigongo Busisi lenye urefu KM 3.2.
View attachment 1284588
Akiongea katika hafla ya uwekaji wa jiwe la Msingi leo Desemba 7, 2019, Rais Magufuli amesema, mradi huo ni muhimu na anamshukuru Mfugale kwa kukamilisha mpango mapema pamoja na Bunge kwa kupitisha bajeti ya ujenzi huo.
‘Nimeona nimtumie Mfugale haraka haraka, nikamwambia kamilisha mapema katika kipindi changu cha Urais inawezekana muda wangu ukiisha anaweza akaja Rais mwingine akaufuta huu mradi, na huyu Mfugale amekuwa akifanya vizuri katika miradi yote ya madaraja nchini’, ameeleza.
Aidha Rais Magufuli amewaasa wananchi wa Mwanza hususani wa Wilaya za Sengerema na Misungwi ambapo mradi huo upo kuutumia vizuri kwa kunufaika kiuchumi kwani ni mradi muhimu kwa watanzania wote na nchi jirani.
Awali Mfugale alieleza kuwa mradi huo unagharimu Shilingi Bil. 699, ambazo zote ni fedha za ndani na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 40.
KUKAMILIKA.
Miezi 40, uchaguzi bado miezi 12, anauhakika wa kushinda,
UCHAGUZI WA NINI?,
UCHAGUZI UWE BAADA YA DARAJA KUKAMILIKA.
Nyie bila kupendelewa hamwezi kuendelea.Wana Mwanza na Geita mpewe nini yawezekana mmeteseka kwa siku nyingi lakini sasa neema hiyo imefika
Iwe mwisho kuwa na rais Msukuma.Mfugale ni mtanzania hii mitazamo ya "kwao au kwenu au kwetu" ndiyo inatugawa, mtanzania wa kabila lolote anaweza kwenda Mwanza akilitumia hilo daraja na hata mtu wa Mwanza anaweza kwenda Iringa hadi Mbinga au Kyela kwa barabara za lami, daraja la Kigongo lisiwatie watu wivu ni daraja linalojengwa Tanzania kwaajili ya watanzania.
Mkuu we umefuta mingapi?? Afu miezi 40 kuanzia sasa si itakuwa Uchaguzi tayari au kuna uhakika wa kushinda 2020??
Kura yako siyo haki yako.Mkuu we umefuta mingapi?? Afu miezi 40 kuanzia sasa si itakuwa Uchaguzi tayari au kuna uhakika wa kushinda 2020??
Mfugale ni mtanzania hii mitazamo ya "kwao au kwenu au kwetu" ndiyo inatugawa, mtanzania wa kabila lolote anaweza kwenda Mwanza akilitumia hilo daraja na hata mtu wa Mwanza anaweza kwenda Iringa hadi Mbinga au Kyela kwa barabara za lami, daraja la Kigongo lisiwatie watu wivu ni daraja linalojengwa Tanzania kwaajili ya watanzania.
Kwani huo mradi ulikuwepo?Kama yeye alivyoufuta mradi wa bandari ya bagamoyo
Sawa, maana hata flyover za Ubungo na TAZARA ziko kanda ya ZiwaMpaka Magufuli anaondoka madarakani, Kanda ya ziwa itakuwa Kama New York