Wewe niwa kupuuzwa kama ulivyo upuuzi wako?Nilishasema IQ yako ni ndogo sana,you can't keep up with the adults conversation. Kwani zile card za Xmas alizopiga marufuku alizikuta au?
Bwana weeee! ninashambuliwa utadhani nimekwepa kodi
Nilikuwa nafikiria tu jinsi ya kubana matumizi. Nikakumbuka 'walk the talk'
Nashambuliwa sana, sijui niombe radhi kwa kuuliza kaswali hako ka kipuuzi au
katibu mkuu kiongozi ampeiga ''marufuku matumizi ya gharama kama kununua card na calendar''
Hayo maua mezani yanaangukia eneo gani!
katibu mkuu kiongozi ampeiga ''marufuku matumizi ya gharama kama kununua card na calendar''
Hayo maua mezani yanaangukia eneo gani!
Kwani kontenazilitolewa wakati wa utawala wa nani? Mbona leo imekuwa issueKabla ya kufikia kwenye logic ya walk the talk ungejiuliza kwanza kama hayo maua yamenunuliwa kabla au baada ya utawala wa awamu ya tano.
Mkuu ahsante kwa kuwailishaHayo yalikuwepo kabla ya order kutolewa nawasilisha mkuu
Mkuu ahsante kwa kuwakilishaHayo yalikuwepo kabla ya order kutolewa nawasilisha mkuu
Ebwana! Utadhani mimi ndiye mmiliki wa makontenaHa ha ha jamani nguruvi kauliza swali la kiuchojozi tu, hakuna haja ya kumshambulia sana , sijajua mchukulienhilo swali too serious.
Mimi nitaluja na thread ya hayo majina ya mama mdogo yanayomzunguka maghufuli kwa nini?
Kwa sababu ukianzia na alhaji hasami ilikiwa tabu, mrisho ndio mama weeee kaharibu nashauri wasipewe cheo chochote tena
Ahsante mkuuMkuu, hayo ni artificial yanasafishwa kila jumamosi kwa maji tu na omo ili yang'ae!
Wewe niwa kupuuzwa kama ulivyo upuuzi wako?
Kwa hiyo ulitaka maua aliyoyakuta hapo ofisini ayatupe kwa sababu serikali imepiga marufuku kununua kadi za x-mas.
Watu wa aina yako ni hasara kifikra!
Bwana weeee! ninashambuliwa utadhani nimekwepa kodi
Nilikuwa nafikiria tu jinsi ya kubana matumizi. Nikakumbuka 'walk the talk'
Nashambuliwa sana, sijui niombe radhi kwa kuuliza kaswali hako ka kipuuzi au