Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Makusanyo ya mapato yasiyotokana na kodi yamepungua kwa Sh. bilioni 483.03 (23.3%) ukilinganisha na 2016/17. Kumekuwa na makusanyo pungufu kwa trillioni 1.2 sawa na 44.62% ikilinganishwa na makadirio Sh 2.8 trilioni yaliyopitishwa @bunge_tz #ChangeTanzania #CAGReport