Rais magufuli na Ndalichako hebu waoneeni huruma watoto hawa wa masikini!

Ngushi

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
9,065
18,358
Tangu jana loanbord wametoa majina ya watoto waliofanikiwa kuapeal mkopo!
Waliofanikiwa ni watoto kama 1000+ na wengi walitegemea kupata ahueni lakini subira yao imekuwa shubiri......
Kibaya zaidi wapo wengine ambao majina yao yalikuwepo kwenye first batch,ila wakati wapo chuoni ghafla wakakatiwa mkopo wao bila sababu ya msingi, sasa wamesoma semister moja tu ndio hayo majina yenu mumeyaleta!
Kiukweli walio wengi wamekata tamaa na maisha, hebu waoneeni huruma!

Mimi niko tayari hata kutoa uthibisho wa hao waliopewa first batch ila mkawakatia tena na sasa wamekoseshwa kabisa na niko tayari kuwapeleka mpaka nyumbani kwao ili kuona hali halisi ya wazazi wao na wanasoma zile course ambazo ni priority!!
Hebu waoneeni huruma watoto hawa walioonja elimu ya chuo kwa semister moja tu!
 
Kwa hili hata mimi napaza sauti. Nina ndugu yake wife anasoma udaktari muhimbili. Baada ya hayo majina ya board, amekata tamaa kabisa na anarudi nyumbani. Mwanzoni alipewa 95% alafu sasa hivi amenyimwa eti kisa kasoma O-Level Kaizirege. Sijui kama analowaza litafanikiwa kwa maana anahisi akiacha mwaka huu labda akiomba tena upya atapata ili arudie mwaka. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Serikali iliangalie hili kwa undani sana.
 
Kwa hili hata mimi napaza sauti. Nina ndugu yake wife anasoma udaktari muhimbili. Baada ya hayo majina ya board, amekata tamaa kabisa na anarudi nyumbani. Mwanzoni alipewa 95% alafu sasa hivi amenyimwa eti kisa kasoma O-Level Kaizirege. Sijui kama analowaza litafanikiwa kwa maana anahisi akiacha mwaka huu labda akiomba tena upya atapata ili arudie mwaka. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Serikali iliangalie hili kwa undani sana.
inaumiza sana mkuu
 
Haya mambo ni kijinga kabisa tena yanatia hasira sana, hivi kwanini uwanyime elimu vijana wa kitanzania? Kwanini ujenge chato international airport kwa bil 50 ukaacha kuwapa mikopo taifa la kesho. Stupid
 
Tangu jana loanbord wametoa majina ya watoto waliofanikiwa kuapeal mkopo!
Waliofanikiwa ni watoto kama 1000+ na wengi walitegemea kupata ahueni lakini subira yao imekuwa shubiri......
Kibaya zaidi wapo wengine ambao majina yao yalikuwepo kwenye first batch,ila wakati wapo chuoni ghafla wakakatiwa mkopo wao bila sababu ya msingi, sasa wamesoma semister moja tu ndio hayo majina yenu mumeyaleta!
Kiukweli walio wengi wamekata tamaa na maisha, hebu waoneeni huruma!

Mimi niko tayari hata kutoa uthibisho wa hao waliopewa first batch ila mkawakatia tena na sasa wamekoseshwa kabisa na niko tayari kuwapeleka mpaka nyumbani kwao ili kuona hali halisi ya wazazi wao na wanasoma zile course ambazo ni priority!!
Hebu waoneeni huruma watoto hawa walioonja elimu ya chuo kwa semister moja tu!
Hizo course ambazo ni priority ni zipi mkuu?
 
Kwa hili hata mimi napaza sauti. Nina ndugu yake wife anasoma udaktari muhimbili. Baada ya hayo majina ya board, amekata tamaa kabisa na anarudi nyumbani. Mwanzoni alipewa 95% alafu sasa hivi amenyimwa eti kisa kasoma O-Level Kaizirege. Sijui kama analowaza litafanikiwa kwa maana anahisi akiacha mwaka huu labda akiomba tena upya atapata ili arudie mwaka. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Serikali iliangalie hili kwa undani sana.
Mliichagua wenyewe chichiyemu
 
Haya mambo ni kijinga kabisa tena yanatia hasira sana, hivi kwanini uwanyime elimu vijana wa kitanzania? Kwanini ujenge chato international airport kwa bil 50 ukaacha kuwapa mikopo taifa la kesho. Stupid
Mkuu jiandae kuitwa mchochezi
 
Tunaposema ccm mbaya watu watu wanabisha. Tunapiga hatua 2 mbele tunarud hatua 10 nyuma.
Kipind cha mkapa watu walipewa wengi mikopo tena 100% walikuwa wengi, kikwete kidogo 50% zikawa nyingi hata mm niliponea hapa. Sasa kwa huyu 0.5% ktk marais ambao si wakubali mpaka keshokutwa ni huyu. Nahis si Mtanzania
''Nilisoma shule zote za private O na A na bado nikapata 50%''. Ingekuwa kipind hiki cha kuisoma namba nisingeenda chuo.
Inatia hasira sana. NCHI YETU INAHARIBIWA NA CCM NA MAENDELEO HAYAWEZ KULETWA NA CCM
SIKU TUKIMTOA MKOLON MWEUS NDIPO TUTAANZA KULA NATIONAL CAKE
 
Kwa hili hata mimi napaza sauti. Nina ndugu yake wife anasoma udaktari muhimbili. Baada ya hayo majina ya board, amekata tamaa kabisa na anarudi nyumbani. Mwanzoni alipewa 95% alafu sasa hivi amenyimwa eti kisa kasoma O-Level Kaizirege. Sijui kama analowaza litafanikiwa kwa maana anahisi akiacha mwaka huu labda akiomba tena upya atapata ili arudie mwaka. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Serikali iliangalie hili kwa undani sana.
Mkuu msomeshe shemeji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom