Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,055
Niliposoma kuwa Rais anaangalia Shilawadu, nikakumbuka mambo ya mikutano ya DAVOS ghafla nikawaza mengi sana especcially kuhusu Destiny ya nchi yetu.Pale ambapo raia namba moja anaangalia kipindi cha shilawadu
Sijui hata kwanini nikawaza hayo.