Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,195
Kwa mamlaka aliyo nayo kuchota hazina sio kikwazo, ndio maana tunahoji kama kweli katoa kwenye mshahara wake.Ana mshahara ambao hanunulii chakula, mafuta,nguo wala ada ya shule anaweza kutoa pesa zaidi ya hiyo.
Kama ameamua kutangaza kiasi na atangaze basi kilipotoka ama mfukoni kwake(mshahara) au Hazina.