Rais Magufuli na Libya


Umesema vyema sana.

Sasa maswali ya kujiuliza

1. Tanzania tunatoa Scholarship ?
2. Tanzania tunasaida Africa kulipia Matumizi ya Sattelite ?
3. Raia wa Tanzania tuna Maisha bora kuwazidi watu wengine wote barani Africa ?

Ukijbu haya Maswali utajua kuwa hatupaswi kujifananisha na Libya ya enzi za Gadafi,hatufanani nayo hata Chembe...
 

Kitu cha kwanza kinachoniudhi ni utumiaji wa jina la mtukufu, nafikiri sisi watanzania tuna tabia ya kutukuza watu sana. Kwani kumuita mheshimiwa haitoshi?
Halafu kumuita mta kilaza sidhani kama kuna makosa yeyote. Kilaza kwa ninavyoelewa ni mtu asiye na elimu na sidhani hilo ni tusi la kumpeleka mtu kortini.
 
!
!
watu wote huwa na busara kabla hawajazungumza kitu chochote kile. Busara huanza kupotea na mtu kuonekana wa hovyo paleee anapoanza kutokwa na povu. Poor Africans.
 
Ukituliaga unatoa vitu vyenye akili wew
 
Tukisema ni dicteta watu wanabisha kwanini utolee nchi za kidicteta mfano asipoongelea Libya ataongelea Rwanda
Rafiki kuna watu humu wanamonitor each and everything going on over here! Be careful usije pata matatizo na wa kukutetea ni wachache
 
Amekomaliaa mfano mfu wa dikteta mwenzake! Hajui diplomacy yeyote ameshikilia mfano mbovu na dhaifu kulinganis amani! Libya walikuwa wameminywa uhuru wao kwa kuzibwa mdomo na utajiri wa nchi yao! Ile haikuwa amani ulikuwa woga kwa mkono wa chuma! Walipochoka kunyimwa haki na uhuru wao hasa wa kukosoa mfalme Juha wakalianzisha
 
Hivi ulishawahi kusikia nchi ya amani watu wake wanazuiwa kuandamana!?

Hivi kweli unafikiri maandamano yanaweza kuhatarisha amani kwenye nchi ya amani!!?
 
Autocracy
Democracy
Theocracy
Oligarchy
 
..unajua majeshi ya Gaddafi yaliua vijana wetu wa jwtz wakati wa vita vya Uganda.

..mimi nashangaa Amiri Jeshi wetu mkuu anamsifia kiongozi wa aina hiyo.

..Je amesahau? Je hajali? Au ni kukosa uelewa wa uzito wa dhamana aliyonayo?

..suala la kilichotokea Libya ni very complex. Gaddafi alifanya makosa na wapinzani wake nao walifanya makosa.

..Je, hakuna viongozi wengine wa kusifiwa zaidi ya Gaddafi aliyeuwa askari wa Tanzania?

NB:
 
Rafiki kuna watu humu wanamonitor each and everything going on over here! Be careful usije pata matatizo na wa kukutetea ni wachache
Matatizo kwa unajua Mimi nani au ni mtoto wa nani waambie waje wanitafute !!
Kwanza kwa lipi?
Kwa kosa gani baada washugulikie sukari kwa wananchi wao wao wanaangaika na Mimi !!
Waje tu mi siwaogopi!!
 
Yaani wewe nyani, hata sijui nisemeje, yaani umezungumza pumba tu. Hujaelezea udikteta wa gadafi sawa sawa, Toa ufafanuzi kamili kwa nini gadafi alikuwa dikteta? au kwa kuwa ulisikia tu ma wester walikuwa wakimuita hivyo basi na wewe kumba kumba unachukulia hivyo hivyo? sasa eleza hapa halafu tukupe shule kamili.
 
Kawaulize wananchi wa libya leo hii kati ya Gadafi na sasa kipi kizuri
 
Swali la kujiuliza tulifikaje hapa, yote haya yanaletwa na tabia za wanasiasa wasaka sifa, kutukana viongozi bungeni, kwenye mitandao, kwenye mikutano na magazetini.

La kushangaza viongozi waliothubutu kuwafunga na kuwapoteza wawatukanao au wanaowajaribu kama Nyerere na mkapa walikuwa wanaogopwa na kuheshimiwa. Waliokuwa wavumilivu na wasikilizi kama Mwinyi na Kikwete walitukanwa na kubezwa hata wafanyapo mazuri. Msukuma naye hataki kubezwa period.
 
tatizo la gadafi nikukaakatika cheokwamudamrefu miyaka 40 simchezo
 
Tangia huyu mzee wa Iraq aingie madarakani sioni kilichobadilika. Hospitali zimeendelea kukosa madawa, amesabisha uhaba wa baadhi ya mahitaji ya kijamii kama sukari, mzunguko wa fedha umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali ngumu kwa wananchi, kukosekana kwa ajira, kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kutopandishwa madaraja, wananchi kurundikiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu, kuwagawa wananchi kwa kauli za kichochezi na zinazoudhi n.k, n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…