simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Toa orodha ya viwanda ambavyo havijaendelezwa. Acha blah blah.Kweli Mh. Mwijage ajichunguze. Ningekuwa mimi ningekuwa tayari nimesha futa vyote ambavyo havijaendelezwa.
Toa orodha ya viwanda ambavyo havijaendelezwa. Acha blah blah.Kweli Mh. Mwijage ajichunguze. Ningekuwa mimi ningekuwa tayari nimesha futa vyote ambavyo havijaendelezwa.
Sikio la kufa halisikii dawa.Katika hali isiyo ya kawaida katika ufunguzi wa kiwanda cha saruji mkoani Tanga, rais mbele ya hadhara amemtamkia waziri wa viwanda anamkwaza, anasema anaogopa nini kufuta viwanda ambavyo havijaendelezwa mbona mwenzake Lukuvi anafuta mashamba.
anasema amekua akimpa maelekezo ofsini na hata kwenye baraza la mawaziri lakini hafanyi hivyo.
mwijage kaa chonjo.
hatamfukuza, amempa muda arekebishe, afanye anavyotaka.Katika hali isiyo ya kawaida katika ufunguzi wa kiwanda cha saruji mkoani Tanga, rais mbele ya hadhara amemtamkia waziri wa viwanda anamkwaza, anasema anaogopa nini kufuta viwanda ambavyo havijaendelezwa mbona mwenzake Lukuvi anafuta mashamba.
anasema amekua akimpa maelekezo ofsini na hata kwenye baraza la mawaziri lakini hafanyi hivyo.
mwijage kaa chonjo.
neno la 11 kutoka mwanzo ndio jibu sahihi.Sio kila kitu ni cha kuongea in public.
Sometimes ni ushamba sijui? Bado sijajua nini tatizo la kila kitu kutaka watu wakisikie........
Alitushauri tujiajiri ni zamu yake sasa kujiajiri na yeyeMwijage week ijayo hana kazi,
Hapa ndo napata picha ya ile kauli yake kwamba ana watoto anasomesha kwa hiyo wasimponze ile kazi anaipenda,
Kwaheri mwijage.
Sio kila kitu ni cha kuongea in public.
Sometimes ni ushamba sijui? Bado sijajua nini tatizo la kila kitu kutaka watu wakisikie........
Kauli kama ile inaonyesha anawaonea aibu hao watu, acha atumbuliwe tu, sijawahi mkubali, ana porojo nyingi kuliko vitendo!Heheee! Mwijage hapo atajinyea .. Nakumbuka ile clip flan aliyokuwa analilia ajira kwamba wasije wakamponza ana watoto wanamtegemea
Mkuu huu ni utabili, au uncle Magu ame confirm?Mwijage week ijayo hana kazi,
Hapa ndo napata picha ya ile kauli yake kwamba ana watoto anasomesha kwa hiyo wasimponze ile kazi anaipenda,
Kwaheri mwijage.
Ndio hivyo nilivyoandika.
Walaaa ile ni sehem ya kumsisitizia jamboMwijage week ijayo hana kazi,
Hapa ndo napata picha ya ile kauli yake kwamba ana watoto anasomesha kwa hiyo wasimponze ile kazi anaipenda,
Kwaheri mwijage.
Mkuu umerudi hewani? ulipotea kidogoSio kila kitu ni cha kuongea in public.
Sometimes ni ushamba sijui? Bado sijajua nini tatizo la kila kitu kutaka watu wakisikie........
Ndo hivo inabidi kufutwa sababu vimekufa, waliobinafsishiwa wameshindwa kuendeleza. Uwe unajiongeza kabla ya kudandia mada usizozijuaKwani kuna viwanda kweli vinastahili kufutwa? au vilishajifia miaka kadhaa iliyopita? Labda kama anaongelea viwanda vidogo (cherehani 4) mbele ya ofisi za ccm.
Mjinga kwenye ujinga wake,chadema ndio waliomteua
Ni utabiri tu mkuuMkuu huu ni utabili, au uncle Magu ame confirm?