Siku mtu Fulani akiondoka humu duniani tbl rekodini mauzo yenu hamtaamini.Tujiulize, kwa nini huko nyuma haya hayakuwepo? Lkn utekaji upo au haupo na mbona haongelei majaliwa ya wale ambao hawajaonekana kwa miaka kadhaa sasa.
Je mtu akitekwa kweli na watu wakashuhudia na kwa siku kadhaa asionekane watu wakae kimya tu mbona hii inaturahisishia tujue watekaji ni akina nani.
Watu wengine wanajiweka kwenye mazingira magumu wenyewe kiasi kwamba wakiondoka madarakani hawawi salama. Very hopeless indeed.
Ndo maana uchunguzi hufuataMbona ni polisi wenyewe ndio hutwambia wananchi kwamba wasiojulikana ndio wamefanya uhalifu? Utasikia kamanda akisema " Amepigwa risasi na watu wasiojulikana". Sasa kwa nini lawama tupewe sisi tunaopewa tu taarifa kwamba wasiojulikana wamefanya yao?
Ukisoma history vizuri jiulize kwanini mkoloni akupeleka elimu kule sababu aliona atapata hasara si wazuri kwa kazi za reasoning zaidi ni manual work walitumika mashambani na ukuli bandariniHuyu mtu lilikuwa kosa kubwa Sana kumpa madaraka makubwa
Walishawekwa kati watangulizwe wakaokolewa na ndugu zaoKama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe
Vitachafuliwa sana, vikitaka usafi viwakamate wasiojulikana baaasi tutasema tu.Hapo sawa kabisa maana vyombo vyetu vinachafuliwa hovyo
Wewe utakuwa ni mtekaji lazma utetee ajira yakoNi sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jukumu la taasisi hizo kujisafisha kama wasiojulikana wanna nguvu kuliko dola na haiwezi wadhibiti wewe ni mtoto?kinachotakiwa ni uthibitisho kuwa waliomteka hawahusiki na taasisi yoyote ile ya serikali na tutawafikisha mahakamani kwa kujitambulisha hivyo, hatuwezi kukubali wachafue taasisi ya serikali.
Kama vimekubali kuchafuka je,ukiruhusu nyumba yako iwe kijiwe cha wavuta bangi wakulaumiwa nani hapoReturn Of Undertaker,
Siasa imeingia katika masuala ya msingi ya nchi,wahuni wachache wanavichafua vyombo vya Usalama
Sidhani kama umefikiria vizuriMheshimiwa Rais yupo sahihi naunga mkono
Tii sheria bila shurti
Ipo siku isiyokuwa na jina na yeye atatekwa, na wasiojulikana, tatizo ni muda tu. Jiwe anasahau muosha huoshwa!Kama vimekubali kuchafuka je,ukiruhusu nyumba yako iwe kijiwe cha wavuta bangi wakulaumiwa nani hapo
Hakika haina......Hivi kweli nchi ina Rais??