Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,147
- 26,477
pascall mayalaa ni face id, mwenyewe hlsi ni jiweMheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Kweli lakini kaka anastahili, ngoja nianze kampeni, makini sana huyu kaka...Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Mwaka huu hana ujanja , yuko tayari kwa cheo chochoteAliwahi kusema mshahara wa dc yeye ni sawa na kodi anayolipa kwenye office yake hivyo hicho cheo hana mpango nacho
Pascal hatateuliwa mpaka pale atakapoitisha mkutano wa vyombo vya habari na kuutangazia ulimwengu kuwa anamuunga mkono jiwe. Sote tumeona wale wanaokesha mitandaoni wakipostiposti wakisahaulika kabisa. Mkuu anapenda mambo ya LIVE zaidi, siyo haya ya kukaa nyumba ya keyboeard.Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
busara ni kukaa kimya kuyasemea mambo ambayo muda ndio muamuziPaskali Ana gunduuu naona
Ova
Atakuja na Id fekeloNa iwe hivyo.
Wote semeni Amen,
Ila sasa tutamiss nondo zake
Pole sana, unajua kwa nini mwenyekiti wa CCM alitaka viroba vitokomezwe ? ni kwa kuwaokoa ufipa.Mayalla kapambana sana kuitetea hii serikali anafaa kwa kwelii....ila yale mazezeta ya lumumba yataendelea kupiga kelele..
Yote heriMheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Akakae pale kwa Ryoba....Kwa pembeni....yaani kama namuona anavyotabasamu Mh. Pascal Mayalla. Anatabasu kwa namna wanaJF wanavyotafsiri threads zake. Ha ha haaa!!!