Rais Magufuli: Mimi ni Rais kweli kweli, jiwe. Sitishwi wala sitishiki; azindua kiwanda cha Alizeti mkoani Singida

Always watu waoga ndivyo walivyo lazima ajihami kuwa haogopi kitu lkn ukimtisha kidogo unaweza kuta kachafua suruali muda mrefu.
 
..watu wema huwa hawajitangazi....watu wabaya ndio wenye kupenda ku quote Mungu pale wanapoona hawapendwi....this is very natural kwa mtu mbaya kujiona mwema hata mbele ya Mungu....sishangai....BTW...sijawahi kuona factory ya kukamua mafuta ikiitwa kiwanda duniani....hapa ndipo alipotufikisha....,tena anafungua factory kwa mbwembwe...wakati hizi factory wakati wa mkwere wala usingeona mkwere anazifungua.....sad....
 
Ila jamani mi naomba kigezo cha kupimwa akili na kupimwa psychological disorders kiwekwe wakat wa kumpata rais.wagombea wote wapimwe akili.
 
Huyu ndiye Rais! Mtoa mada ndiye unayehitaji mwanasaikolojia wa kukufundisha kumwelewa Rais wetu. Na kwa maana hiyo, najitolea kuwa mwanasaikolojia wako! Offer on the table!
 
Sizonje anaota asee. Yani anataka akifa pia Mungu ampe ukiranja awaongoze malaika? Si atapanga coup de tat ampindue sir God alafu binadamu tuishi kama mashetani
 
Kama hatishiki kelele za nini majukwaani. Atulie dawa iingie vizuri
Huyu kiumbe kuna mahali kuna kasoro si bure
Mange anawayambisha kweli kweli....
Madikteta wengi huwa ni waoga asikwambie Mtu maana wanajua wakitoka kwenye hizo nafasi zao watakua kitoweo Cha Raia.

Yani madikteta wengi ukiwaondolea vyombo vya Dola(Jeshi,nk) ni walaini zaidi ya akina James delicious,mfano mzuri Gaddafi alijifanya mwanaume lakini aliokotwa kajificha kwenye mtaro wa maji machafu
 
Sizonje anaota asee. Yani anataka akifa pia Mungu ampe ukiranja awaongoze malaika? Si atapanga coup de tat ampindue sir God alafu binadamu tuishi kama mashetani
Hahahahahahahaha tena baada ya mapinduzi shetani ndo atamteua awe msaidizi wake,kama nawaona malaika wakiitwa Popo kwenye vikao vya siri
 
So alikuwa anatest tuu akajikuta umemng'ang'ania? Vigezo vya kuwa rais kweli kweli si mikwara na kuogopwa...Rais kwelikweli hajisemi mwenyewe Bali anakuwa;
1. Anaiheshimu na kuifata katiba.
2. Anaheshimu haki za binadamu na wanyama.
3. Anapokea mawazo ya watu wake bila kisirani,chuki ama kibri.
4. Anatenda na kutoa haki kiusawa bila ubaguzi.
5. Anajua kuumia kwa mtanzania mmoja no kuunizwa kwa watanzania wrote.
6. Mkarimu,anajali,hatetereki na anaonesha njia.
7. Anaamini katika Elimu bora sio bure, anajali afya na ustawi wa watu wake.
8. Mbunifu,mwerevu wa kimataifa,mshirikishaji watu na anayeujua uchumi was kisasa.
9. Anapenda watu wake wafanikiwe,waishi kiuhuru na waifurahie nchi yao na uzalendo wao.
10. Kubwa zaidi awe na hofu ya Mungu na amtumikie yeye kiukweli na kila wakati.
He,Hutu wetu anayo haya kwa asilimia ngapi?
 
“Si kila mtu anayesema, ‘Bwana, Bwana,’ ambaye ataingia katika Ufalme wa mbinguni ila ni wale wanaofanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Siku ile itakapofika wengi wataniambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’ Ndipo nitawaambia wazi, ‘Sikuwafahamu kamwe. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’ - Mathayo 7:21-23.
 
Tunachotakiwa kufanya kwasasa na huu ni ushauri wa bure, tumuache huyu mtu afanye afanyavyo bila hata kumjibu.
Katika hali kama hizi watu wajifanye hakuna kitu kinachoendelea hapa nchini, hii itakuwa fimbo nzuri sana kwani kila atakaposimama jukwaani atakosa wa kumsema vibaya na zile mada za sitaniwi, sipangiwi, sijui mimi ni jiwe atakoma kuzitamka na hapo ndio mtamuonea huruma.
Rais wetu tangu amechaguliwa hakuna siku amesimama jukwaani bila kutoa lawama kwa watu wanaompinga na kumshauri, huyu aachwe ahangaike mwenyewe na hapo ndio itakuwa fundisho kwake.
 
Back
Top Bottom