Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 19,226
- 23,020
Hii Mount Meru si huko nyuma iliwahi kufungiwa kwa uchafuzi wa mazingira au kingine tena?Utaponda sana ila miradi mingi mikubwa imeanzishwa awam yake
Hii Mount Meru si huko nyuma iliwahi kufungiwa kwa uchafuzi wa mazingira au kingine tena?Utaponda sana ila miradi mingi mikubwa imeanzishwa awam yake
Utanyooka tu!Nchi ya mazwazwa.Kauli za hao ndugu ni ishara tosha kuwa Zitto hakukosea aliposema tumekabidhi nchi malimbukeni na mazwazwa
Tarehe 14/3/2018 Rais anazindua mradi wa SGR awamu ya pili mtabaki kujiharishia rais wetu jiwe kweli kweli. DadadadakiiItajeee.Ataishia kuzindua mashine za alizeti
Teh! Teh! Ndio Tanzania ya Viwanda hiyoHicho kiwanda kinafanya kazi hapo miaka mingi sana!! Zamani kilikuwa kikiitwa bunda mills kabla ya kununuliwa na Mount meru millers (Lalaa)nimefika kwenye hicho kiwanda mwaka 2011 na kilikuwa kinapiga kazi! Magu kaenda kukizindua Leo!!! Maajabu
Uandishi wako unaashiria upo kwenye lile kundi ambalo TWAWEZA walisema ndio wanaoiunga mkono serikali (i.e. watu wenye elimu ndogo na upeo wa chini)Hata wamponde laisi huyo nijembe hogela baba magufuli wamebana wameachia
Siku hizi anatembea na mkasi wa kukatia utepe kwenye koti!
Hivi huyu anamfanya Muumba kuwa mtani wake? Asome historia juu ya mwisho wa watu waliomdhihaki Muumba wa mbingu na nchi."Rais Dkt. Pombe Magufuli amesema uwepo wake madarakani ni kutaka kuwatoa watanzania katika shida mbalimbali walizokuwa nazo na kuwapelekea eneo ambalo watakula raha ili siku atakapokuja kufa basi hata Mungu ampe nafasi ya kuwaongoza Malaika mbinguni"
Hii kufuru itamfuata hadi kwenye kaburi lake
Unajua nyie watu mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe,sasa kama wameishiwa hoja mbona mmewazuia kufanya mikutano ya kisiasa na kuwafunga kila siku!? Kama nyie wanaume si muwaache mshindane kwa hoja!!Kwa wanaoangalia ZIARA ya MHESHIMIWA RAIS mkoani singida tumemsikia WAZIRI MWIGULI akifunguka ukweli juu kilicho jificha kwa sasa ndani ya nchii yetu juu hizi vugu vugu kwa sasa zinazochagizwa na WAPINZANI WASIOITAKIA MEMA NCHI YETU mfano UTEKAJI,MAUAJI.....maandamano yanayoandaliwa hapo 26/04/2018...kasema ni ukweli usiopingika haya mambo ya kutisha kabsa yanatokea kwa sasa baada ya WAPINZANI wa NCHI HII kukosa hoja za kisiasa juu ya serikali iliyopo madarakani na matokeao yake wanatafuta njia mbadala ya kuchafua picha ya SERIKALI YETU mfano kuitisha maandamano yasiyoruhusiwa KISHERIA na wao kutumia mwanya huo kufanya mauaji na mwisho wa siku kuihusisha serikali iliyo madarakani...
Siyo hivyo tu mwingine anasema akiemda Mbinguni basi Mwenyezi Mungu atampa awe kiongozi wa Malaika!Kwahili nazidi kuona kibri ya watu, hivi binadamu wenzako unawaita vinyago? Eeh Mungu tunusuru
Hahaaa. Labda kiongozi wa mashetani wa MotoniSiyo hivyo tu mwingine anasema akiemda Mbinguni basi Mwenyezi Mungu atampa awe kiongozi wa Malaika!
Kwani unafikiri sasa hivi tunaelekea wapi?Nenda burundi somalia na kenya ndio kuna utu
Duh!! Ebu jaribu kuficha ujinga,eti cha wahindi, wewe ulitaka kiwe cha nani?kiwanda kipo tangu kabla ya 2015 anazindua nini? halafu ni cha Wahindi.
kweli hii serekali kwa kiki sidhani kama ipo ya mfano wake duniani!
Kwa Uongozi upi apewe hiyo nafasi? Anyway Mungu si Athumani. Sitaki kuandika wala kusema sana nisimkosee Mungu wangu bure.ili siku atakapokuja kufa basi hata Mungu ampe nafasi ya kuwaongoza Malaika mbinguni.
Umesema vyema kbsMimi naona kama rais yupo bize na kuzindua vitu vidogo vidogo!! Hizi kazi anazojipa ni za wakuu wa mikoa nafikiri au hata manaibu waziri wa wizara husika. Bora mzee angetumia muda kupumzika tu.
Tena jiwe kweli kweli la pembeni nyoosha nchi baba tuko nyuma yakoSafi Sana Rais Wetu