Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Hivi wewe kweli unaweza kumkatalia Mbowe?Ni kweli kabisa. Ndani ya ccm nani atamkubali mtu ambaye kabla ya kusema NDIYO lazima ahoji?
Majibu ya Heche Leo hadi akanyang'anywa mic ni kama vile mkulu kapigwa upper cut ndani ya mchezo wa boxing.
CCM hii ya ndio mzee mnaiweza nyie pekee wenye vipaji vya unafiki