Rais Magufuli kutembelea China

Swali la Civics,

Taja Rais wa KWANZA Duniani ambaye hakuwahi kusafiri / kufanya ziara nje ya Nchi kipindi chote Cha miaka kumi cha Uongozi wake___________________
 
rais wa china ataongea kichina sijui mandarin na wetu kiswahili..genius move
 
Mnafikiria kununua tu huko nje na siyo kuuza! Hiyo shilingi inapandaje sasa we taahira?
Sasa wewe mbumbumbu Tanzania inatengeneza vipuri gani vya mashine? Taja kiwanda hata kimoja ili tununue Tanzania badala ya kuagiza toka huko nje
 
Sasa wewe mbumbumbu Tanzania inatengeneza vipuri gani vya mashine? Taja kiwanda hata kimoja ili tununue Tanzania badala ya kuagiza toka huko nje
Kwamba nchi zote duniani zinabadilishana vipuri vya mashine tu we mwendawazimu? Siyo bure mmerogwa nyie
 
Kwamba nchi zote duniani zinabadilishana vipuri vya mashine tu we mwendawazimu? Siyo bure mmerogwa nyie
Nazungumzia Tanzania siwezi kua mwendawazimu kuzungumzia nchi zote duniani wakati ninaishi Tanzania aisee ungejibu swali la kiwanda cha vipuri vya printer, caterpiller, ndege, magari ili vinunuliwe hapa hapa itakua jambo jema sana
 
mbona viwanda tayari tushajenga zaidi ya 3000
 
Nazungumzia Tanzania siwezi kua mwendawazimu kuzungumzia nchi zote duniani wakati ninaishi Tanzania aisee ungejibu swali la kiwanda cha vipuri vya printer, caterpiller, ndege, magari ili vinunuliwe hapa hapa itakua jambo jema sana
Siwezi kujibu upumbavu! Huo peleka mkajadili kwenye vikao vyenu vya ndani
 
Hahahaha chige jamaa yetu anaenda Uchina bwana. Angemsikiliza Jakaya mapema na kutokuleta unazi usio na mantuki leo hii asingefika hapa. Ooh bandari Bagamoyo blah blah, oooh SGR iende Kigali. Sasa wachina wameshajua ana shida, watamminya huko.
 
Kinachomponza Raisi wenu ni kiburi kisicho na msingi wowote ule kabla ya utaalamu. Propaganda dhidi ya Uchina yeye naye alizifanya sana baada ya kuingia Ikulu.

Akaanza kushambulia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo bila hata kuwa na sababu za msingi. Wenzake wanakusanyika kule Afrika Kusini mwenye mkutano wa BRICS yeye kiburi tu, SINO-AFRICAN FORUM yeye kiburi tu. Sasa mambo yanaanza kuwaka moto huku nyumbani kwake ndiyo akili zinaanza kumuingia. Hivi angekuwa ni mtu wa kusikiliza unadhani angefika hapa alipofika leo ? Ujehuri bila maarifa ni anguko.

Pia lazima muelewe kwamba hata akienda Uchina bado atahitaji kujenga mahusiano mazuri na mataifa ya Magharibi kwasababu hata Uchina naye anajua bila Magharibi hawezi kuendelea. Hii nchi bwana
 
Ni kweli kwamba tumefanya makosa fulani fulani katika nyanya za kidiplomasia lakini pia we have made some breakthroughs.Makosa mengine yameletwa na kukosa uzoefu,hata hivyo nafurahi kukiri kwamba tumejifunza pakubwa na bado tunaendelea kujifunza.Ziara hii ya China ni out of realization that we cannot go it alone,ni lazima tujenge mahusiano na mataifa mengine,lakini yale tu ambayo yatakuwa development partners wazuri.Sio siri kwamba mataifa ya magharibi sio development partners wazuri na yanaporomoka kiuchumi,not by chance,but by design.Kwao win win situation is a taboo,and this is unacceptable.

Mkuu,the World Economic Powehouse is "being moved" East and this trend is irreversible.So it makes sense sisi kuji-align na mataifa ya mashariki.Kwa hiyo Magufuli kuji-identify na Beijing is quite correct.I hope trend hii ya kujenga mahusiano na mataifa mengine rafiki zitaendelea.Hatupati faida yeyote by living in isolation,infact we loose.
 
Kumbukeni mchina anacheza rough, how sure are you kuwa hiyo nyonga itabakia salama?
Sioni ubaya wa Mchina,kwa kuwa yeye hana strings attached kwenye mikopo yake tofauti na akina Robin Hood.Jambo la msingi kwake ni kurudisha mikopo yake,na hiyo ndiyo dawa ya mkopo.Mkopo sio Grant mkuu.
 
Katikati ya kutekana na kupigana risasi???... morality and fairness ni ndoto.
Sisi nia yetu kama taifa ni kwenda Kaskazini,halafu wewe unafanya kila juhudi na kutumia kila mbinu kuturudisha kusini,what do you expect.Tukuchekee?
 
Sisi nia yetu kama taifa ni kwenda Kaskazini,halafu wewe unafanya kila juhudi na kutumia kila mbinu kuturudisha kusini,what do you expect.Tukuchekee?
Kama gharama ya safari ya "taifa"kuelekea kaskazini ni ku-eliminate wana wa nchi wanao tofautiana nanyi , safari haitakuwa na mafanikio!
 
Kama gharama ya safari ya "taifa"kuelekea kaskazini ni ku-eliminate wana wa nchi wanao tofautiana nanyi , safari haitakuwa na mafanikio!
Kutofautiana ni kawaida,ila busara na hekima lazima vitumike.Matusi na kejeli havitufikishi popote.
 
Mleta uzi umejitahidi kuremba remba,lakini wapi! Ukweli uko wazi maji yako shingoni. Eti akitoka China apitie Tehran na Moscow, hivi huwa hata mnajisomea kweli au ni kuunga tu mkono hizo juhudi.Iran na Russia wamewekewa vikwazo vya kiuchumi. Iran imeumizwa sana na vikwazo, Russia wana afadhali kidogo lakini mambo ni magumu. Sasa huyo rais wenu apite huko kufanya nini labda? Basi apite na Caracas, Venezuela akaongeza ujuzi wa kuvuruga uchumi na maisha ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…