technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Sasa wewe utalipaje watu uliowaita mafisadi? Tena hadharanihizo ni tuhuma tu, usipowalipa je wakishinda kesi? si tutawalipa na fidia
Kwani wamefukuzwa kazi ama wamesimamishwa kazi? Kwa kawaida mtu akisimamishwa anaendelea kulipwa mshahara isipokuwa madaraka yake hayafanyi kaziSasa wakionekana hawana makosa wote wale atawapangia ofisi zipi? Huko ndo kuongoza kwa mizuka
walituhumiwa tu, mahakama ndio ina mamlaka ya kudhibitisha!Sasa wewe utalipaje watu uliowaita mafisadi? Tena hadharani
Wajinga tu hao, wao ndo walikuwa wanawatetea kwamba wanafukuzwa bila kupewa nafasi ya kujitetea.Kwani wamefukuzwa kazi ama wamesimamishwa kazi? Kwa kawaida mtu akisimamishwa anaendelea kulipwa mshahara isipokuwa madaraka yake hayafanyi kazi
Kwani ofisi zao zimeungua?Sasa wakionekana hawana makosa wote wale atawapangia ofisi zipi? Huko ndo kuongoza kwa mizuka
Sheria zipo na ndiyo maana wanaendelea kulipwa.Ndo madhara ya kutokufuata sheria katika kutatua matatizo
Wewe acha ujinga sasa kama ni uongo si lifungiwe ilo Gazeti?Hahaaa, unaficha jina la gazeti ili tusijue ni Tanzania Daima, tulishausoma huo umbea. Bahati mbaya wameyandika wao peke yao. Mnataka kutusahaulisha na Mbowe kukwepa kodi? Mwambieni alipe KODI hatutaki majizi.
Na bado huliamini Tanzania daimaKwani wamefukuzwa kazi ama wamesimamishwa kazi? Kwa kawaida mtu akisimamishwa anaendelea kulipwa mshahara isipokuwa madaraka yake hayafanyi kazi
Hivi hujui tofauti kati ya kufukuzwa na kusimamishwa kazi? Lazima walipwe stahiki zao maana umewatuhumu tu na hujathibitishaView attachment 387995View attachment 387992 kama ni kweli bado unayalipa haya majipu mamilioni ya pesa wakati waliochukua nafasi zao nao unawalipa mamilioni kama ni kweli basi Mimi nimeacha siasa kabisa niludi kwenye betting
Hii haikubaliki hata kidogo walimu wamekatwa mishaara yao
Vijana hawajapewa pesa ya field study!!
Ajira za walala hoi bado !!
Alafu unalipa mafisadi uku ukitwambia unapambana na ufisadi?
Very sad
Unaliamini gazeti lipi?Binafsi sijawahi kuliamini gazeti la Tanzania Daima. Huwa wanaandika kinyume
Anajua ila yupo hapa JF kwa kazi maalumu.Hivi hujui tofauti kati ya kufukuzwa na kusimamishwa kazi? Lazima walipwe stahiki zao maana umewatuhumu tu na hujathibitisha