Rais Magufuli kufanya kikao maalum leo na Mawaziri, Makatibu, MaRCs, MaRAS na TRA

Status
Not open for further replies.
tunamkumbusha hasisahau kutoa maagizo kwamba,wastaafu walipwe pesa zao mara moja maana wanateseka sana,hivi ni kazi gani nyigine ya muhimu inayofanywa na hiyo mifuko zaidi ya kuwalipa wastaafu pesa zao?
 
tunaelekea mwaka wa nne saivi lakin bado hajapanga safu yake ya uongozi sasa mzee anatapatapa


SMART

S= Specific (Hayuko specific anataka nini, Mara kahamia Dodoma, Mara Kajenga uwanja wa ndege Chato, Mara Kanunua Bombadia, Mara Stieglers, Mara SGR)-Alitakiwa achague mradi mmoja mkubwa, maximum miwili tu basi adeal nayo hiyohiyo mpaka kieleweke

M=Measurable (Kwa kuhamia Dodoma anapimaje mafanikio yake kwa mfano, Je kuhamia Dodoma kunaongeza nini katika uchumi?)

A =Attainable (Je ana hela za Kuattain kila Mradi?)
R=Relevant (Je midege ni relevant?, Kuhamia Dodoma ni relevant?, Kurudia rudia chaguzi ndogo bila sababu za msingi ni relevant?)

T=Timely (Yuko tayari hiyo miradi imaliziwe na watakaomfuata, au anataka ndani ya miaka yake miwili au saba iliyobaki iwe imekamilika?, Je yuko tayari tule Nyasi ili ambition yake hii ifanikiwe?)

Akitaka kuachieve ambition zake, ana option moja tu nayo ni KUKUZA UCHUMI, BILA KUKUZA UCHUMI WATU WANAWEZA KUTAMANI KUGEUZA RELI YA SGR SCREPA WAKAUZE WAPATE HELA YA KULA!, Achana na njaa aisee!!!
 
Huu ni upotoshaji mkubwa wa tafsiri,IMF haijasema kuna udhaifu mkubwa katika udhibiti wa fedha za kigeni.Usahihi ni kwambaa IMF inasisitiza kuongeza uangalizi/usimamizi/umakini kwa vihatarishi"risks" katika biashara/sekta ya fedha za kigeni nchini.
 
Hivi siku hizi TRA wamekumbwa na nini wasitutolee mapato na matumizi kila mwezi au ndiyo imebumaaa
 
Hizi nondo ni pm nitakuteua kuwa vice- prime minister
 
Hiv tatizo hua nn vichwan mwenu???
 
Nimesoma ratiba, wataalam 3, NBS,BOT NA TRA,wamepewa nusu SAA kila mmoja, mkuu SAA moja, Kwa kuwa serikali inabana matumizi wangetuma nakala mikoa ni, sioni semina hapo.


Kwani ni semina mbona ni kikao maalum cha...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…