PumziNdefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 561
- 1,228
Wapinduke mara ngapi??Utapinduka aisee kuwa makini
Wapinduke mara ngapi??Utapinduka aisee kuwa makini
Pia Chato Stadium inajengwa, kukiwa na mechi tutawakaribisha na ndugu zetu wa Burundi tujaze uwanja.Bado ule uwanja wa kimataifa. Itakuwa inatua Ait Tz tu, tena ikiwa na abiria wasiozidi kumi. Ubinafsi utatutafuna
Kweli kashindwa vibayaKorosho nakupa salute! Hata jiwe amekushindwa!!!!
Kibaba kimoja chatosha
Yajayo yanasikitishaPia Chato Stadium inajengwa, kukiwa na mechi tutawakaribisha na ndugu zetu wa Burundi tujaze uwanja.
Jiwe anataka wakulima warudishe hela, koro show mbovuMwenye roho mbaya ni Jiwe aliyewadhulumu wakulima wa korosho.
Yaani huyu mzee anafikiria wafanyabiashara wanatapanya pesa zao kama yeye anavyofanya au alikuwa akiona uchungu wakina papa ng'ombe mtoto ya ndama, kina balabuu sijui nani nani watatoa pesa wengine wanarusha pesa maana kuna sehemu mmoja nilikuwa nimeenda na classmate wangu mdada. Sasa huyo pedeshee akarusha nadhani ilikuwa ni milion 5 pesa juu hao wadada wakaanza kuzipigania. Mimi nikanyagwa kidole kidogo kikatike.CRDB Chato nisikiavyo tellers wanashinda waki angalia instagram. Kwasiku kila mmoja anahudumia takriban wateja watano.
Si angejenga huo uwanja hapa Moshi, Soweto Maana ndege ndogo ndogo zinatua na watalii kisha wanapanda magari kwenda Kilimanjaro mlimani kisha na yeye anajipatia ma dollar. Ila akili ni nyele mwenzetu ana uwalazaBado ule uwanja wa kimataifa. Itakuwa inatua Air Tz tu, tena ikiwa na abiria wasiozidi kumi. Ubinafsi utatutafuna
Jiwe ana mpango wa kuipatia Chattle hadhi ya Jiji kabla hajaondoka Magogoni. Mishipa ya aibu ilishakatika kitambo sanaPia Chato Stadium inajengwa, kukiwa na mechi tutawakaribisha na ndugu zetu wa Burundi tujaze uwanja.
Kadinali Pengo ameshajenga Dayosisi ya Chato, kutakuwa na Askofu si muda mrefu. Kadinali ni mwenzetu.Jiwe ana mpango wa kuipatia Chattle hadhi ya Jiji kabla hajaondoka Magogoni. Mishipa ya aibu ilishakatika kitambo sana
Tatizo lenu ndiyo hili, mkiambiwa ukweli badala ya kujitafakari na kupaona mnapokosea mnawabadirisha majina washauri majina na kuwaita wachocheziHuu uzi inaichonganisha serikali na wananchi wake
Hawana namna. Jiwe keshapokonya kazi za washauri wake. In fact sasa hivi yeye ndio "mshauri/advisor" wa waliopaswa kuwa advisors wake na wao hata wakipewa ushauri wa kiboya wanaishia kusema 'ndio mkuu, tumekusoma'..na ameahidi haitokufa Tena Kutokana Na Elimu waliyopewa Na Rais..
🤣🤣🤣🤣🤣Kadinali Pengo ameshajenga Dayosisi ya Chato, kutakuwa na Askofu si muda mrefu. Kadinali ni mwenzetu.
Alisema atawapigia simu marais wa nchi zinazonunua korosho yetu ili apate soko bora, ameshawapigia au alikosa namba zao?
View attachment 1029921
Ule muda wa kuanza kugawana Korosho umefika ili walau kila mtu akakaange nyumbani kwake. Tusije acha zikaharibika na kuota. Tumekosa Noah moja moja, tumekosa Balimi moja moja kwenye makinikia yalipo bandarini tokea 2017 licha kelele kibao za kishikilia uchumba/unyumba. Tusirudie makosa kwenye korosho wakati tunaziona kabisa. Ni muda wa kukomaa kila mtu apate walau kibaba.
Kwa sasa tumekosa fedha za kigeni kutokana na zao hili muhimu sababu ya Jiwe kutumia Jeshi kwenye biashara kutisha watu.
View attachment 1029925
Bad enough serikali hii ya Jiwe inaitangazia dunia kuwa korosho walizonunua kwa wakulima wa Tanzania hazina ubora. Hivi hii akili au matope?
View attachment 1029929
Ni mara 1000 tugawane tu hizo koro show nikakaange tu maskani na washikaji.
View attachment 1029944
A huge DISGRACE to our beloved Nation, not fit to lead anything under the sun.