mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 923
- 1,272
- Thread starter
- #41
😂😂😂😂Nasikia makondakta na mwenzake wamezitafuna angani zote
Hili jaribio jiwe limefail angeacha watu wapige biashara ye achukue kodi
😂😂😂😂Nasikia makondakta na mwenzake wamezitafuna angani zote
Hili jaribio jiwe limefail angeacha watu wapige biashara ye achukue kodi
Hapo sasaNajiuliza tu, ataongea nao kwa kiswahili kiingereza au kiswanglish??
Sijapata jibu bado.
SureTatizo lenu ndiyo hili, mkiambiwa ukweli badala ya kujitafakari na kupaona mnapokosea mnawabadirisha majina washauri majina na kuwaita wachochezi
Lakini haishangazi,maana hata wakuu wenu ndivyo walivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni ubishi. Alitamka yeye mwenyewe novemba 17 2018 nitapandisha video soon. Acheni kutetea uovuMh Rais kasema wapi tutagawana korosho? Mods, futeni huu uzi plz..!!
Acheni ubishi. Alitamka yeye mwenyewe novemba 17 2018 nitapandisha video soon. Acheni kutetea uovu
Najiuliza tu, ataongea nao kwa kiswahili kiingereza au kiswanglish??
Sijapata jibu bado.
Umesahau na Mbaazi, walisema wananchi wanaweza kula wakati wanasubiri sokoKwa sasa tumekosa fedha za kigeni kutokana na zao hili muhimu sababu ya Jiwe kutumia Jeshi kwenye biashara kutisha watu.
Thread Imejaa UnakakasiHuu uzi inaichonganisha serikali na wananchi wake
Alisema atawapigia simu marais wa nchi zinazonunua korosho yetu ili apate soko bora, ameshawapigia au alikosa namba zao?
ATM zinaota kutu,zina buibui na mende,hazitumikiCRDB Chato nisikiavyo tellers wanashinda waki angalia instagram. Kwasiku kila mmoja anahudumia takriban wateja watano.
Jana nimemsikia Waziri wa Mawasiliano Na Uchukuzi anasema Rais kawafundisha Na wameelewa Makosa yaliyopelekea ATC ikafa Na wameahidi haitokufa Tena Kutokana Na Elimu waliyopewa Na Rais
Nimeishia kucheka badala ya wataalam wa Biashara hasa Biashara ya usafiri wa Anga kuwapa Somo watu wa Serikal kuhusu namna ya kuendesha Biashara hiyo wao ndio wanasema Rais kawafundisha
Bongo bana
PUMBAAV! Wazushi na watu wa masihara kama wewe mnatakiwa mfungwe jela kulingana na Sheria ya maudhui mitandaoni.View attachment 1029921
Ule muda wa kuanza kugawana Korosho umefika ili walau kila mtu akakaange nyumbani kwake. Tusije acha zikaharibika na kuota. Tumekosa Noah moja moja, tumekosa Balimi moja moja kwenye makinikia yalipo bandarini tokea 2017 licha kelele kibao za kishikilia uchumba/unyumba. Tusirudie makosa kwenye korosho wakati tunaziona kabisa. Ni muda wa kukomaa kila mtu apate walau kibaba.
Kwa sasa tumekosa fedha za kigeni kutokana na zao hili muhimu sababu ya Jiwe kutumia Jeshi kwenye biashara kutisha watu.
View attachment 1029925
Bad enough serikali hii ya Jiwe inaitangazia dunia kuwa korosho walizonunua kwa wakulima wa Tanzania hazina ubora. Hivi hii akili au matope?
View attachment 1029929
Ni mara 1000 tugawane tu hizo koro show nikakaange tu maskani na washikaji.
View attachment 1029944
Jiwe alipaswa aelewe kuwa biashara haiwezi ana akili ndogo kwenye biashara. Mfanyabiashara anaangalia faida na wapi awekeze sio kwa matakwa ya Jiwe. Tunakumbuka baada ya kulazimisha tawi la CRDB lijengwe Chato Kimei aliulizwa na wenye CRDB yao vip tena ukapeleka tawi Chato kinyume na utaratibu. Kimei akatoa kauli moja kwamba,"tumeanzisha tawi Chato kwa utafiti alioufanye Rais"
Sasa mambo yake ya kulazimisha mambo tena kwenye biashara za watu haya ndio madhara yake. Atambue kabisa biashara hana ABC kabisa akae pembeni asimamamie sera na sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
We wakupuuzwa tuPUMBAAV! Wazushi na watu wa masihara kama wewe mnatakiwa mfungwe jela kulingana na Sheria ya maudhui mitandaoni.
We ni wa kupuuzwa tu. Halafu kingereza hujui. Afadhali hata ya Nyani Ngabu huwa anajitahidi. Ila wewe bado sana pia ni mshambaYou are very -ve to the point i think you always pray for failure of this country or CCM, i am softly telling you the deep deep truth, utafeli ww vibaya and the country will go on in better direction if not the best..!! Fanya vitu vingine ujitafutie maendeleo yako, familia yako na jamii yako, stop wasting ur time & energy kuombea kufeli kwa nchi na watu wake including CCM, hutaweza milele na milele daima..!!
Kweli?ATM zinaota kutu,zina buibui na mende,hazitumiki
We ni mchocheziThread Imejaa Unakakasi
Yaani Hata Comment Nakosa
Huu Uchonganishi Wa Serikali Ya Viwanda Na Wananchi Wake