Rais Magufuli, kitendo cha kuminya Uhuru wa vyombo vya habari,Taifa linabomolewa bila wewe kujua

lingamba lidodi

JF-Expert Member
Nov 15, 2018
964
1,137
Habari zenu wana jamvi! Mheshimiwa Rais, nchi hii toka Uhuru haikujengwa na Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete peke yao. Ilijengwa na wananchi wote wakiongozwa na hao niliowataja hapo juu na Jwtz,jkt,Polisi,usalama wa taifa. Wahandisi,wakulima na wana habari,nk.

Hawa wana habari walitoa mchango mkubwa kuhabarisha uma juu ya mambo yanayoendelea ktk nchi yao. Walifanya uchunguzi na kufichua maovu mengi kwenye sekta binafsi hata serikalini.

Wakati mwingine wana habari waliwarahisishia polisi kujua uovu uko mahali gani,takukuru,hata usalama wa taifa pia.

Marais hawa pia walitumia vyambo hivi vya habari na wakaviamini. Wakati wako huu baada ya kuvifunika VYOMBO hivi, kuna uovu mwingi unatendeka lakini wewe hujui kwa kuwa umetegemea Polisi tu.

Watu wanaonewa na hao uliowateua na WENYE fedha bila wewe kujua, hata hao Polisi huonea watu na kubambikia kesi bila wewe kujua. Vyombo vya habari vilifichua mengi bila uwoga na serikali ilichukua hatua na haki ikatendeka au uovu kuondolewa.

Leo hii nchi inatafunwa kimya kimya,wanyonge wanaonewa hawana chombo cha kuwapalizia sauti. Baba!Polisi hawawezi peke yao,usalama nao hawawezi peke yao,nk Mwananchi ilikuwa akiona jambo mahali haliko sawa,akimueleza mwandishi wa habari akalifuatili na kuthibitisha,story ile kesho ikiwekwa gazetini, tayari uovu umefichuka serikali kupitia vyombo vyake inachukua hatua.

Nakushauri badirisha tena Sheria ya vyombo vya habari ili vikusaidie kufichua maovu kama kweli Nia yako ni kukomesha maovu ktk nchi yetu. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA BABA!!!!
 
Habari zenu wana jamvi! Mheshimiwa Rais, nchi hii toka Uhuru haikujengwa na Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete peke yao. Ilijengwa na wananchi wote wakiongozwa na hao niliowataja hapo juu na Jwtz,jkt,Polisi,usalama wa taifa. Wahandisi,wakulima na wana habari,nk. Hawa wana habari walitoa mchango mkubwa kuhabarisha uma juu ya mambo yanayoendelea ktk nchi yao. Walifanya uchunguzi na kufichua maovu mengi kwenye sekta binafsi hata serikalini. Wakati mwingine wana habari waliwarahisishia polisi kujua uovu uko mahali gani,takukuru,hata usalama wa taifa pia. Marais hawa pia walitumia vyambo hivi vya habari na wakaviamini. Wakati wako huu baada ya kuvifunika VYOMBO hivi, kuna uovu mwingi unatendeka lakini wewe hujui kwa kuwa umetegemea Polisi tu. Watu wanaonewa na hao uliowateua na WENYE fedha bila wewe kujua, hata hao Polisi huonea watu na kubambikia kesi bila wewe kujua. Vyombo vya habari vilifichua mengi bila uwoga na serikali ilichukua hatua na haki ikatendeka au uovu kuondolewa. Leo hii nchi inatafunwa kimya kimya,wanyonge wanaonewa hawana chombo cha kuwapalizia sauti. Baba!Polisi hawawezi peke yao,usalama nao hawawezi peke yao,nk Mwananchi ilikuwa akiona jambo mahali haliko sawa,akimueleza mwandishi wa habari akalifuatili na kuthibitisha,story ile kesho ikiwekwa gazetini, tayari uovu umefichuka serikali kupitia vyombo vyake inachukua hatua. Nakushauri badirisha tena Sheria ya vyombo vya habari ili vikusaidie kufichua maovu kama kweli Nia yako ni kukomesha maovu ktk nchi yetu. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA BABA!!!!
unachosema ni kweli mkuu sheria ya kudhibiti vyombo vya habari ni mbovu mnoo tena mbaya zaidi wanaipa msukosuko mpk jamii forum hakika wanakosea Sana natoa mfano wa kweli!!

Mimi ndie nilietoa taarifa ya majasusi wa Kenya na Uganda kuidukua Tanzanian kupitia walimu wa kingereza matokeo yake gazeti la jamvi la habari aidha wamekopi habari yangu na kuiongezea nyama au wamefanya utafiti na kuthibitisha nilichosema Mimi

tafuta gazeti lililoandika habari ya Tanzania kupenyezewa majasusi niliianzisha Mimi na Jana gazeti la jamvi La habari wamethibitisha

acha wafunge uhuru WA kutoa
Maoni watashtuka nchi imebaki fito
 
unachosema ni kweli mkuu sheria ya kudhibiti vyombo vya habari ni mbovu mnoo tena mbaya zaidi wanaipa msukosuko mpk jamii forum hakika wanakosea Sana natoa mfano wa kweli!!

Mimi ndie nilietoa taarifa ya majasusi wa Kenya na Uganda kuidukua Tanzanian kupitia walimu wa kingereza matokeo yake gazeti la jamvi la habari aidha wamekopi habari yangu na kuiongezea nyama au wamefanya utafiti na kuthibitisha nilichosema Mimi

tafuta gazeti lililoandika habari ya Tanzania kupenyezewa majasusi niliianzisha Mimi na Jana gazeti la jamvi La habari wamethibitisha

acha wafunge uhuru WA kutoa
Maoni watashtuka nchi imebaki fito
NATHIBITISHA KWA AKAUNTI YANGU NYINGINE LONG TIME AGO NILIONYA KUHUSU MATUMIZI YA DRONE BAADAYE WAKAWEKA SHERIA JUZI TUMEONA GATWICK AIRPORT UK WATU WALIRUSHA DRONE FOR A 3 DAYS NDEGE HAZIKURUKA.JIWE ANA MAMBO YA KIJINGA SANA KUHUSU WENGINE KUONGEA .HE IS WRONG
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.

Kenge wewe makalio makubwa
 
Kenge wewe makalio makubwa
Demokrasia mnayohubiri iko wapi?
Yaani mtu hasiyeupande wenu mnamtukana halafu mnalalamika Magufuli anawabana watu wenye mawazo kinzani na yake.
Huu si unafiki?
Leo hauna madaraka umenitukana kwa kuwa kinyume na maoni yako, vipi kama ungekuwa rais au rc si ungenifunga au kuamuru nipigwe?
Acheni kuhubiri mambo msiyoyafanya huo ni unafiki.
Sitakutukana ila jirekebishe wewe na wenzako.
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.

Hao polisi ukiwapelekea ovu inakuwa kama umewatengenezea ulaji. Watakachofanya ni kubanana na muhalifu ili wapate rushwa na vile wanajua habari haifiki gazetini basi wanapiga kimya kimya. Kwa mfano kuna mtu kaleta taarifa leo akimtaka rais amchukulie hati mkuu wa mkoa wa Morogoro na wilaya fulani huko kwamba wanawabeba wafugaji dhidi ya wakulima. Amemtaja mpaka mwigulu na viongozi wengine waandamizi kuwa ni wafaidika wa hizo hujuma za ardhi hivyo rais asitegemee kupata hizo habari kwa yoyote kwani aliowaamini ndio watenda maovu. Kwanini aliowaamini wanashiriki maovu? Ni kwakuwa hawawezi kuanikwa na vyombo vya habari. Kwa hiyo sifa anazotaka rais za kuonekana nchi inaenda vizuri kwa kunyima watu kupata taarifa basi ndio nchi inaangamia.
 
Demokrasia mnayohubiri iko wapi?
Yaani mtu hasiyeupande wenu mnamtukana halafu mnalalamika Magufuli anawabana watu wenye mawazo kinzani na yake.
Huu si unafiki?
Leo hauna madaraka umenitukana kwa kuwa kinyume na maoni yako, vipi kama ungekuwa rais au rc si ungenifunga au kuamuru nipigwe?
Acheni kuhubiri mambo msiyoyafanya huo ni unafiki.
Sitakutukana ila jirekebishe wewe na wenzako.

Acha utukanwe ili ujirirekebishe, watu wanaongea jambo serious we unaleta utoto na ushabiki wa kisiasa. Tena huyo jamaa kukupa tusi dogo, ww unapaswa kufunguliwa koki ya matusi kwani ndio mtetea maovu. Huo uzalendo wako wa kinafiki kaa nao nyumbani kwako na mkeo maana huna msaada zaidi ya kuleta upuuzi hapa jukwaani.
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.
MCHWA hula kwa siri,ukishituka jengo limeanguka.NDIVYO ITAVYOKUWA KWA NCHI HII,sir khan
 
Habari zenu wana jamvi! Mheshimiwa Rais, nchi hii toka Uhuru haikujengwa na Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete peke yao. Ilijengwa na wananchi wote wakiongozwa na hao niliowataja hapo juu na Jwtz,jkt,Polisi,usalama wa taifa. Wahandisi,wakulima na wana habari,nk. Hawa wana habari walitoa mchango mkubwa kuhabarisha uma juu ya mambo yanayoendelea ktk nchi yao. Walifanya uchunguzi na kufichua maovu mengi kwenye sekta binafsi hata serikalini. Wakati mwingine wana habari waliwarahisishia polisi kujua uovu uko mahali gani,takukuru,hata usalama wa taifa pia. Marais hawa pia walitumia vyambo hivi vya habari na wakaviamini. Wakati wako huu baada ya kuvifunika VYOMBO hivi, kuna uovu mwingi unatendeka lakini wewe hujui kwa kuwa umetegemea Polisi tu. Watu wanaonewa na hao uliowateua na WENYE fedha bila wewe kujua, hata hao Polisi huonea watu na kubambikia kesi bila wewe kujua. Vyombo vya habari vilifichua mengi bila uwoga na serikali ilichukua hatua na haki ikatendeka au uovu kuondolewa. Leo hii nchi inatafunwa kimya kimya,wanyonge wanaonewa hawana chombo cha kuwapalizia sauti. Baba!Polisi hawawezi peke yao,usalama nao hawawezi peke yao,nk Mwananchi ilikuwa akiona jambo mahali haliko sawa,akimueleza mwandishi wa habari akalifuatili na kuthibitisha,story ile kesho ikiwekwa gazetini, tayari uovu umefichuka serikali kupitia vyombo vyake inachukua hatua. Nakushauri badirisha tena Sheria ya vyombo vya habari ili vikusaidie kufichua maovu kama kweli Nia yako ni kukomesha maovu ktk nchi yetu. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA BABA!!!!
Umesema ukweli hata usioweza kusemwa na mashehe, wachungaji, mitume na mapadri. Sasa hivi watu wa nchi hii ni waoga utadhani haikutawaliwa mwl. Nyerere!!!
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.
United Republic of Ufipa ndio maoni kinzani? Sir Khan bwana!!!!
 
Maovu peleka polisi.
Hauoni jinsi waovu wanavyoshughulikiwa na polisi baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi wema?
Nchi gani inabomolewa?
Au unaongelea 'united republic of ufipa?
Kwa taarifa yako awamu hii waovu wanashughulikiwa kuliko awamu zote zilizopita.
Mjinga tu wewe na hujui kinachozungumziwa hapa! Acha kuharibu hoja za watu kwa kuwazia tumbo lako!
 
N
unachosema ni kweli mkuu sheria ya kudhibiti vyombo vya habari ni mbovu mnoo tena mbaya zaidi wanaipa msukosuko mpk jamii forum hakika wanakosea Sana natoa mfano wa kweli!!

Mimi ndie nilietoa taarifa ya majasusi wa Kenya na Uganda kuidukua Tanzanian kupitia walimu wa kingereza matokeo yake gazeti la jamvi la habari aidha wamekopi habari yangu na kuiongezea nyama au wamefanya utafiti na kuthibitisha nilichosema Mimi

tafuta gazeti lililoandika habari ya Tanzania kupenyezewa majasusi niliianzisha Mimi na Jana gazeti la jamvi La habari wamethibitisha

acha wafunge uhuru WA kutoa
Maoni watashtuka nchi imebaki fito
Nikweli kabisa mkuu huku ni vyanzo vya habari za magazeti mengi nakumbuka hata kipindi kile jk alipokua davos aliposema hajui nini kinaifanya Tanzania isieendelee magazeti mengi yalikopi ile habari huku na kuipeleka kwa wananchi
 
Acha utukanwe ili ujirirekebishe, watu wanaongea jambo serious we unaleta utoto na ushabiki wa kisiasa. Tena huyo jamaa kukupa tusi dogo, ww unapaswa kufunguliwa koki ya matusi kwani ndio mtetea maovu. Huo uzalendo wako wa kinafiki kaa nao nyumbani kwako na mkeo maana huna msaada zaidi ya kuleta upuuzi hapa jukwaani.
Kwa hiyo mnataka wote tuwe na maoni sawa?
Kwa hiyo kupinga hoja ni utoto?
Kwa hiyo mtu mwenye mawazo tofauti na yako solution ni kumtukana?
Mangapi mazuri Magufuli anafanya halafu nyie mnapinga lakini hamtukanwi?
Mnataka msikilizwe na maoni yenu kinzani lakini hamtaki kusikia maoni kinzani?
Sio kwamba sijui matusi ila sipendi kuyatumia maana sio busara ni upumbavu.
Jirekebisheni.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Kwa hiyo mnataka wote tuwe na maoni sawa?
Kwa hiyo kupinga hoja ni utoto?
Kwa hiyo mtu mwenye mawazo tofauti na yako solution ni kumtukana?
Mangapi mazuri Magufuli anafanya halafu nyie mnapinga lakini hamtukanwi?
Mnataka msikilizwe na maoni yenu kinzani lakini hamtaki kusikia maoni kinzani?
Sio kwamba sijui matusi ila sipendi kuyatumia maana sio busara ni upumbavu.
Jirekebisheni.

Unaongea nini dogo? Humu ndani matusi yamejaa na ni toka pande zote. Hayo mazuri anayofanya Magufuli tumegawana majukumu, mpo nyie mnaosifia na tupo wengine tunaokosoa baadhi ya mambo ili kuboresha zaidi na hiyo ndio demokrasia.
 
Kwa hiyo mnataka wote tuwe na maoni sawa?
Kwa hiyo kupinga hoja ni utoto?
Kwa hiyo mtu mwenye mawazo tofauti na yako solution ni kumtukana?
Mangapi mazuri Magufuli anafanya halafu nyie mnapinga lakini hamtukanwi?
Mnataka msikilizwe na maoni yenu kinzani lakini hamtaki kusikia maoni kinzani?
Sio kwamba sijui matusi ila sipendi kuyatumia maana sio busara ni upumbavu.
Jirekebisheni.
Kupinga kila kitu si jambo jema,lakini hata wewe sijawahi ona ukikosoa pale palipofanyika vibaya, au kujenga za kushauri viongozi lakini unalazimisha wengine wapongeze! Kukubali kukososolewa ni sawa na mtu anayejitazama kwenye kioo,wapi hapajakaa sawa kwenye vazi alilovaa. IVO SIR KHAN
 
Back
Top Bottom