Rais Magufuli Kafanya nini kumkomboa Mtanzania wa hali ya chini?

Wong Fei

JF-Expert Member
Apr 13, 2016
5,060
6,828
Mwaka 1 na miezi ya JK aliweza kutoa ajira kwa watoto maskini, alitoa mikopo kwa watoto wa masikini wengi na hakubagua hata waliosoma private schools nao walipata nikiwemo mimi lakini ingekuwa leo ingekula kwangu chuo ningesikia kwenye radio na tv, wengine walipata mpaka 100% mikopo (Mpaka mtoto wa JPM alipata mkopo), Mishahara iliongezeka, alitoa posho kama kawaida (walimu wakienda kusahihisha mitihani wanapata posho),

wafanyakazi walipandishwa madaraja, increment ilitolewa, HELSB walikata asilimia 8%, wamachinga na wa mama ntilie walifanya shughuli zao japo kuna kipindi walinyanyasika lakini pesa walipata nyingi na wengine waliweza kuwasomesha watoto wao na kujenga nyumba, Mikopo kutoka kwa mabenki na asasi binafsi ilikuwepo ya kutosha, biashara zilianzishwa nyingi rasmi na zisizo rasmi na ziliweza kuwaajiri watu, na mauzo nje ya nchi yalikuwa kila kukicha.

Kwa mwaka 1 na miezi ya uongozi wa JPM?
 
Kafanya Mengi Mkuu;
Kupiga Simu Clouds Na Mahospitalini, Kasaidia M.1 Mgonjwa Wa Muhanga Wa Maji Ya Moto, Kampatia Ulinzi Wa Polisi Mama Aliyedhurumiwa Mirathi, Kawanunulia Karanga Kijiweni Chato Mjini, Kapiga Nao Picha Za Ukumbusho, Na Mengine Mengi Tu
 
Mleta uzi utakuwa na chuki tu na mkuu,
Mbona kawajengea wahanga wa Bukoba,
Kawapatia chakula cha njaa wale wote waliokuwa na njaa,
Kawapa uhuru wapinzani wafanye mikutano yao bila bughdha,
Kawajengea airport chato ya maana na sasa ana 6 b za kuwachimbia visima,
Kasimika muhimili wake Chini zaidi ya mihimili mingine,
Katoa mikopo kwa wanafunzi kwa 100%
Mengine mtakuwa mnamuonea tu mtukufu wetu
 
1. Katusaidia kumuweka lema lupango mpaka leo

2. Kaleta bomba dear

3. Hakuna mikutano ya vyama haswa upi nzani.

4. Serikali kuhamia udom

5. Train ya umeme inakuja

6. Airbus zinakuja pamoja na boeing

7. Uchumi huo badae kwanza

8. Nidhamu ya uwoga

9. Polisi na tiaraei wanakimbizana kukusanya mapato
 
-Elimu bure
-ndege kanunua
-Uwanja wa ndege
-kadhibiti mfumuko wa bei
-Ari ya kufanya kazi imeongezeka
-Madawa ya kulevya
-Watumishi hewa
-Wanafunzi hewa
-Madwati
-
-
-
Let appriciate sometime for something few above many.
 
Mahitaji yote ni bei chini kuanzia unga,mchele,maffuta n'a gesi.....
Hata huruma za afya ni bei chini....
Kuhusu elimu ni bure mpaka kila mwanafunzi Kapewa laptop bure

Ova
 
Katumbua watu
Kawaita watu vilaza
Kawambia bukoba mwafwa
Katamani awe IGP
Kasema magari yatolewe tairi
Kaamru polisi wakamatekamate watu
Kawaomba mashetani waje wazime mitandao.
 
Mwaka 1 na miezi ya JK aliweza kutoa ajira kwa watoto maskini, alitoa mikopo kwa watoto wa masikini wengi na hakubagua hata waliosoma private schools nao walipata nikiwemo mimi lakini ingekuwa leo ingekula kwangu chuo ningesikia kwenye radio na tv, wengine walipata mpaka 100% mikopo (Mpaka mtoto wa JPM alipata mkopo), Mishahara iliongezeka, alitoa posho kama kawaida (walimu wakienda kusahihisha mitihani wanapata posho),

wafanyakazi walipandishwa madaraja, increment ilitolewa, HELSB walikata asilimia 8%, wamachinga na wa mama ntilie walifanya shughuli zao japo kuna kipindi walinyanyasika lakini pesa walipata nyingi na wengine waliweza kuwasomesha watoto wao na kujenga nyumba, Mikopo kutoka kwa mabenki na asasi binafsi ilikuwepo ya kutosha, biashara zilianzishwa nyingi rasmi na zisizo rasmi na ziliweza kuwaajiri watu, na mauzo nje ya nchi yalikuwa kila kukicha.

Kwa mwaka 1 na miezi ya uongozi wa JPM?


Kwani Magufuli ni babako hadi akukomboe?
 
Mleta uzi utakuwa na chuki tu na mkuu,
Mbona kawajengea wahanga wa Bukoba,
Kawapatia chakula cha njaa wale wote waliokuwa na njaa,
Kawapa uhuru wapinzani wafanye mikutano yao bila bughdha,
Kawajengea airport chato ya maana na sasa ana 6 b za kuwachimbia visima,
Kasimika muhimili wake Chini zaidi ya mihimili mingine,
Katoa mikopo kwa wanafunzi kwa 100%
Mengine mtakuwa mnamuonea tu mtukufu wetu
Nimeipenda hii.
Ongeza kawakejeli wahaya pamoja na matatizo yao
Kaziba ikulu kutoa chakula kwa waanga kwani ikulu haina shamba
Katumbua wafanyakazi uku akiendelea kuwalipa
kawezesha bandari kupunguza mizigo kuja bandarini kwa sasa angalau kuna unafuu hakuna mrudikano wa mizigo
Kawanyang'anya mikopo wale waliokuwa wanapata mikopo wakati wa JK kwani serikali haiku kumsomesha kila mtu bure
Kajenga hofu kwa wafanyakazi mpaka sasa angalau hawana uhakika wa kazi zao
Kaongeza ufanizi wa ukusanyaji kodi kwa kupunguza mrudikano wa biashara angalau sasa watu wasiomudu wafunge biashara na mahoteli yao
Kawapa madaraka zaidi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ni makada wa chama angalau hakuna tena demokrasia
 
Mleta uzi utakuwa na chuki tu na mkuu,
Mbona kawajengea wahanga wa Bukoba,
Kawapatia chakula cha njaa wale wote waliokuwa na njaa,
Kawapa uhuru wapinzani wafanye mikutano yao bila bughdha,
Kawajengea airport chato ya maana na sasa ana 6 b za kuwachimbia visima,
Kasimika muhimili wake Chini zaidi ya mihimili mingine,
Katoa mikopo kwa wanafunzi kwa 100%
Mengine mtakuwa mnamuonea tu mtukufu wetu
W utakua co mzma magu hela zte anapeleka chato wengne mxubiri ad matatzo ya chato yaixh kwanz nd mtafata upuuz
 
Pesa kufika kwenye miradi mpaka vijijini bila kuchakachuliwa hasa za shule mifisi ilifikiri ni mzoga utadondoka wakaanza kuingiza majina hewa ya wanafunzi
 
Back
Top Bottom