Rais Magufuli is very strategic

Serikali ya JPM haina strategy yoyote inaenda enda tu haina jipya imekalia kuwaangamiza na kuwatesa wananchi masikini huku ikiwaacha mafisadi wanadunda tu, kiufupi mwananchi wa kawaida ndio anaeisoma namba, .Mawaziri wake waropokaji kila jambo wanadandia bila kuwa za kiundani, wanaropoka kama vile wamelewa kangara.. Hii serikali baada ya miaka 5 itaprove failure na hii sio rocket science.
 
ndugu, hivi unavyoandika hiyo comment yako, kuna watoto yatima na masikini wamefaulu lakini hawajapata mkopo hadi sasaivi. jaribuni kuwa na huruma basi, acheni ushabiki wa kufuata upepo.
 
Ongezea na kukwapua pesa ya maafa bukoba

Mkuu,swala la bukoba Rais na safu yake amelihandle vzr sana.Lilikuwa la kitaifa na la kimataifa.

Mpaka lilitumbua DED na RAS.

Rais siyo wa mchezo mchezo.
Ongeza, kutokuwaajiri vijana ambao wengi wao ni watoto wa wakulima.

Ajira zitamwagika kama njugu.
 
Amevunja rekodi duniani, ameshindwa kwenda kuwatendea haki wahanga wa tetemeko ikiwemo kupora pesa zao mchana kweupe

Rais n taasisi.Waziri mkuu alienda Bukoba.
 
Ni bavichaa tu ndio watakupinga, kama uonavyo hapa.
 

Harafu tuwaulize waliohitim vyuo, walipe mikopo yao ili watoto wa masikin wanaotegemea maisha ya MKOPO wapate pesa.
 
Ukikaa tu kijiweni lazima utakuwa na akili za aina hii.
Watu hawajakaa kijiweni tu, wanahangaika Sana ila mafanikio hamna...
Hujiulizi wakulima mazao yao hayauziki yanaoza tu, nao wapo kijiweni?
Kwanini mnapenda ushabiki wa kijinga Kama mashoga?

Hali ya nchi ni ngumu Sana, pesa haipo kwenye mzunguko kabisa.
Ajira zimesimamishwa hovyo tu na wafanyabiashara wengi wametoa mitaji yao na kupeleka nje.
Hamna lolote mnalosifia zaidi ya ujinga tu...
Siyo kila mtu anaweza kuwa Rais na haya ndo matokeo yake...
 
Mchezo huu hauhitaji hasira, shusha pumzi kwanza ndipo uongee.

Wale wakulima wa korosho waliokuwa wanauza shilingi 600 na leo wameuza kilo shilingi 4,000, ni wenyeji wa Msumbiji au?.

Hakuna maisha ya mteremko, haiwezekani nchi ya watu milioni 49 ikautumikia mkoa wa Dar na mingine michache, ni lazima ugumu wa maisha utokee kwa muda fulani ili kuondoa dhana ya upatikanaji wa fedha hata kwa mtu asiyevuja jasho.

Ni suala la kuzoea tu, wafanyabiashara wawili wakipeleka fedha zao nje kuna wamorocco 1,000 wanaokuja kuwekeza.

Fairness lazima iwepo, mtandao wa JK na ENL ulikuwa unatupeleka kubaya sana. Mungu ni mwema mirija imekatwa na inaendelea kukatwa.
 
Ni rais fisadi asiyetaka wanasiasa au waandishi kufatilia utendaji wa serikali,ukithubutu kuukosoa unaitwa mchochezi
 
Unafiki gharama inafika wakati itakulazimu useme au uandike
 
Very strategic?
Which strategy is he implementing?
When was that strategy established?
With who did he implement the strategy?
Where is the action plan for implementing the strategy?
 
!!!!!!!!!!!!!!!!!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hayo mazuri yote ndio kafikia kupandisha bei ya umeme halafu anahubiri viwanda, huku haonyeshi jitihada za wazi kunyanyua kilimo?
Ila swala la kupandisha bei za umeme naona wanataka watanzania waishi kama mashetani,,, gesi inawasaidiaje watanzania??? Kama imeongeza gharama badala ya kupunguza,,, mi nidhani gesi itakua bei nafuu hata majumbani waweze kutumia kupikia watu wa kipato cha chini imekua kinyume, gesi itabaki kutumiwa na wachache maskini wanaendelea kupikia kuni, Mbwembwe nyingi kusaini mikataba utazani watakufa kesho....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…