mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
Si mara moja au mbili namsikia rais Magufuli akikazia kuwa hataki matusi wakati wa kampeni. Nilimsikia wakati anavunja bunge nimemsikia tena leo pale Somanga akiwa njiani kurudi Dar. Magufuli amekazia sana eneo hilo kuwa hataki matusi watu wanadi sera zao.
Ni matusi gani Magufuli anayaogopa? Yale ya akina Lusinde na Msukuma au yapi? 2015 ulikua ni mwaka ambao hakuna tusi tusilolisikia kutoka kwa wanadi sera wa CCM na hatukuwahi kumsikia Magufuli akiyakataza zaidi ya kuchekelea na kufurahi.
Sasa kupitia safu hii ningependa kujua Matusi yapi ambayo hataki kuyasikia na anayaogopa? Tafsiri zipi tutumie ili tusijejikuta mikononi mwa dola kama ulivyosema? Matusi yapi hasa hayataki mwanasiasa wetu Magufuli? Matusi gani unayaogopa na hasa yakutoka kwa nani mheshimiwa sana?
Ni matusi gani Magufuli anayaogopa? Yale ya akina Lusinde na Msukuma au yapi? 2015 ulikua ni mwaka ambao hakuna tusi tusilolisikia kutoka kwa wanadi sera wa CCM na hatukuwahi kumsikia Magufuli akiyakataza zaidi ya kuchekelea na kufurahi.
Sasa kupitia safu hii ningependa kujua Matusi yapi ambayo hataki kuyasikia na anayaogopa? Tafsiri zipi tutumie ili tusijejikuta mikononi mwa dola kama ulivyosema? Matusi yapi hasa hayataki mwanasiasa wetu Magufuli? Matusi gani unayaogopa na hasa yakutoka kwa nani mheshimiwa sana?