JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,367
Angalau hata angekuwa anasifia kwa unafiki ingetoshaNi mnafiki tu, kamsifia kwasababu siyo mbunge,huko huko kigoma kuna mbuge wa cdm kambgua live
kuliko wanaobeza.Kwa mwenye akili ataelewa
kwamba kuna kitu kilifanywa na fulani.
Hata huyo aliyebaguliwa muda wake
wa kuinuliwa ukifika atainuliwa tu, kikubwa apige kazi
Wanadamu tusipomkumbuka Mungu atamkumbuka.
Naamini Mheshimiwa mwenyewe anakumbuka
alivyopigwa vita mpaka akaomba ulinzi
kwa rais nkapa.Hakuomba ulinzi asidhuriwe na upinzani
bali wale walioitwa kilulacho kinguoni mwako,
kama si mwenyezi Mungu urais asingepata.
Hivyo Tusiogope kubaguliwa.Historia itajieleza yenyewe
wakati ukifika.