Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Kufuli (padlock)Sijaelewa vizuri, unamaanisha ni:
- Pombe (Alcohol) au
- John (Faru)?
-Domhome-
Kufuli (padlock)Sijaelewa vizuri, unamaanisha ni:
- Pombe (Alcohol) au
- John (Faru)?
Kwani bendera huwa inakwenda tofauti na upepo? ccm ni sawa na sigara kali unaiwasha kotekote.Naomba kujua hili,
Ivi wale wana-ccm waliokuwa wanasaport kuitwa Tumbili kwa kafulila, wanalipi la kuongea?
Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
Na kichekesho zaidi nafasi za ubunge anawapa kina Salma Kikwete.mnafiki tu mbona wakati wa kampeni hakumwombea kura mbona hakumsaidia wakati alipokata rufaa kupinga matokeo?
Unaffiki uliopitiliza. Si Ndio walimchezea rafu mwaka juzi. !!!!! kuba jamb
Mh Rais Magufuli akiwa ziarani Kigoma, Uvinza amezidi kusisitiza kuwa hii vita dhidi ya mafisadi na wale wote wanaotumia madaraka yao kujinufaisha wenyewe haitamuacha mtu.
Akimpongeza Kafulila kwa kuwa mzalendo wa kweli kwa kuwapigania watanzania kuhusu IPTL hadi akaitwa tumbili,akifunguliwa na kesi n.k. Amesema waliomuita tumbili wao ndiyo matumbili.
Amesisitiza pia kuachana na siasa za uvyama badala yake tuhimize maendeleo.
My take:
Kwa ujumbe huu wa leo, ni kiashiria kibaya kwa waliodhani Rais anazuga tu.
Unajiaje kama hakusimama?. Kafulila hivi karibuni amesema kwamba kwenye suala la escrow aliungwa na mkono na mawaziri watano akiwemo Magufuli.Wakati Kafulila anaitwa tumbili alisimama kumuunga mkono?
Unajiaje kama hakusimama?. Kafulila hivi karibuni amesema kwamba kwenye suala la escrow aliungwa na mkono na mawaziri watano akiwemo Magufuli.
Kafulila alisema walikuwa ni mawaziri watano, mbona huongelei hao mawaziri wengine wanne?.Hakusimama hadharani. Mbona Kafulila yeye aliongea hadharani? Hsyo ya chini chini ndio huwa tunaita ni majungu. Kama aliona ukweli wa jambo husika aliogopa nini kutoka hadharani? Kwa hili asitafute point za mezani, akiri hakutimiza wajibu wake ipasavyo ili kulinda tumbo lake.
Kwa sababu JPM kakubaliana na Kafulila kwenye suala la escrow basi ndio ampe na ubunge!!.Na kichekesho zaidi nafasi za ubunge anawapa kina Salma Kikwete.
Huu ndio unafiki wenyewe.
HUWA NAMPINGA KWA MENGI ILA KWA HILI NISIWE MNAFIKI BIG UP MKUU."Kumpongeza Mtu aliyefanya vizuri ni kuuthamini Mchango na muda wake."
Hongera Rais Wetu kwa kuliona hilo.
By Mchoraji Cyper255 Muhenga