Rais Magufuli hatomwacha Makonda

Eberhard

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
1,120
757
Magufuli nimfahamuyo mimi ni yule mtenda haki. Pia ni mpenda haki. Magufuli hatomwacha yeyote mwenye cheo chochote ambaye amefoji cheti.

Shida niionayo hapa kuwa mada kubwa imekuwa Makonda. Watu wanataka wampangie rais kazi. Tena hoja ya Makonda inaendeshwa kichuki.

Swala hapa nikuweka usawa katika taifa siyo kila kitu Makonda. Achilia mbali kauli ya waziri Kairuki Magufuli atatenda haki. Hoja ni kuwa haki itendeke. Kuna viongozi wengi wamefoji vyeti siyo Makonda pekee . Kwanini kelele zote ni kwa Makonda ?

Mfano ni huu kuna watu zaidi ya elfu 20 ambao vyeti vyao vina utata lakini aliyekuwa anapigiwa kelele ni Makonda pekee.

Tuvute subira ili tupate heri. Rais ameamua kusimama mkono wa haki ili aitende. Rais atatenda haki. Natabiri ndani ya muda mfupi maagizo yatatolewa ya mwendelezo wa uhakiki hadi kwa wabunge na wakuu wa mikoa na hatimaye Mawaziri. Wote hao wanatumia pesa za serikali.

Rais wangu simama mkono wa haki ukaitende. Wapenda haki tuko nyuma yako.

Tunakuombea na kukutakia heri zote. Principe iko wazi kuwa mtu apandacho ndicho atakachovuna. Naunga mkono feki wote waondoke ili wenye haki yao waipate

Babu okotaokota wa Ifakara.
 
Magufuri nimfahamuyo mm ni yule mtenda haki. Pia ni mpenda haki. Magufuri hatomwacha yeyote mwenye cheo chochote ambaye amefoji cheti.

Shida niionaye hapa kuwa mada kubwa imekuwa Makonda. Watu wanataka wampangie rais kazi. Tena hoja ya Makonda inaendeshwa kichuki.

Swala hapa nikuweka usawae Katika taifa siyo kila kitu Makonda. Achilia mbali kauli ya waziri Kairuki Magufuri atatenda haki. Hoja ni kuwa haki itendeke. Kuna viongozi wengi wamefoji vyeti siyo Makonda pekee . Kwa nini kelele zote ni kwa Makonda

Mfano ni huu kuna watu zaidi ya elfu 20 ambao vyeti vyao vina utata lakini aliyekuwa anapigiwa kelele ni Makonda pekee.


Tuvute subira ili tupate heri. Rais ameamua kusimama mkono wa haki ili aitende. Rais atatenda haki. Natabiri ndani ya muda mfupi maagizo yatatolewa ya mwendelezo wa uhakiki hadi kwa wabunge na wakuu wa mikoa na hatimaye Mawaziri. Wote hao wanatumia pesa za serikali.

Rais wangu simama mkono wa haki ukaitende. Wapenda haki tuko nyuma yako.

Tunakuombea na kukutakia heri zote. Principe iko wazi kuwa mtu apandacho ndicho atakachovuna. Naunga mkono feki wote waondoke ili wenye haki yao waipate

Babu okotaokota wa ifakara.
ujitambui mda wote anasubili nini mbona wengine hakusubili hata xmass ipite issue ni ukanda
 
Sisiemu ndiko walikojaa n'a ndiyo wengi viongozi wa kila sekta !!
Unafikili kuwa ni rahisi kiivyo !!?

Hali ni tete, wewe waone tu wako kwenye v8, vx n'a Prado ukafikili kuwa wanavyeti, wengi sana ni vimeo n'a vihiyo wanaogopa ukaguzi kama ukoma.

Sasa, hoja yako ya RC iko wazi kuwa kote alikosoma mamlaka husika zimekataa kuwa hajawahi kuwa mwanafunzi wao (Yaani , majina yote ya huyo RC hayajawahi kuwa kwenye rekodi zao).

Kwa kifupi, huo mjadala juu ya RC uliishafungwa, mfano, alipelekwa kwenye kamati ya nidhamu ya bunge je, ulisikia mrejesho wa hiyo kamati !

Hukuona, mbowe n'a Mdee mrejesho ulikuja Kwa mbwembwe za ooooh ooooh, Mbowe tumemsamehe, ila Mdee ooooh ooooh, hatahudhulia vikao vya bunge vilivyobakia.

Nikushauli, kama una uwezo wa kupambanua mambo bora uendelee na michakato ya kujiletea maendeleo n'a kama wewe ni msitafu fatilia stahiki zako ule pension yako kwa amani.
Na kama ni mwanafunzi fanya home work zako.

Tanzania, is a home of double standards !!
 
Sisiemu ndiko walikojaa n'a ndiyo wengi viongozi wa kila sekta !!
Unafikili kuwa ni rahisi kiivyo !!?

Hali ni tete, wewe waone tu wako kwenye v8, vx n'a Prado ukafikili kuwa wanavyeti, wengi sana ni vimeo n'a vihiyo wanaogopa ukaguzi kama ukoma.

Sasa, hoja yako ya RC iko wazi kuwa kote alikosoma mamlaka husika zimekataa kuwa hajawahi kuwa mwanafunzi wao.

Kwa kifupi, huo mjadala juu ya RC uliishafungwa, mfano, alipelekwa kwenye kamati ya nidhamu ya bunge je, ulisikia mrejesho wa hiyo kamati !

Hukuona, mbowe n'a mdee mrejesho ulikuja Kwa mbwembwe za ooooh ooooh, mbowe tumemsamehe, ila mdee ooooh ooooh, hatahudhulia vikao vya bunge vilivyobakia.

Nikushauli, kama una uwezo wa kupambanua mambo bora uendelee na michakato ya kujiletea maendeleo n'a kama wewe ni msitafu fatilia stahiki zako ule pension yako kwa amani.
Na kama ni mwanafunzi fanya home work zako.

Tanzania, is a home of double standards !!
Hakuna sehemu waliomkana Makonda kuwa hakuwahi kuwa mwanafunzi. Kuna rafiki yangu wa Karibu alisoma na Makonda ushirika Moshi. Shida tunaongozwa na chuki pamoja na wivu.
 
Anachelewa tu. Laiti angejua akamtumbua Bashite, haya maelfu wataondoka wenyewe hata bila kusukumwa. Kwa mtu anayejinadi kutenda haki, double standard huwa inammaliza nguvu sana.
Washauri na wapenzi wake mpeni ushauri.
 
Hakuna sehemu waliomkana Makonda kuwa hakuwahi kuwa mwanafunzi. Kuna rafiki yangu wa Karibu alisoma na Makonda ushirika Moshi. Shida tunaongozwa na chuki pamoja na wivu.
Unafahamu kinachopigiwa kelele dhidi ya Makonda kuhusu cheti?
 
Hakuna sehemu waliomkana Makonda kuwa hakuwahi kuwa mwanafunzi. Kuna rafiki yangu wa Karibu alisoma na Makonda ushirika Moshi. Shida tunaongozwa na chuki pamoja na wivu.

Utakuwa hufatilii taarifa !
Labda, waulize wengine kuhusu taarifa za mamlaka mbalimbali za shule alikosoma kukataa kutokuwa na majina yote unayoyajua kuwa ni ya huyo RC.

Binafsi, nimemuona Makonda chuo cha ushirika tena siku moja tulishangazwa sana alipomleta Mzee Mwinyi aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili akampeleka majengo ya utawala ya chuo, yeye akiwa kama PSU Kwa Rais Mwinyi .

Zaidi, nikujuze, huyo jamaa amegombea hadi uongozi wa wanafunzi pale ushirika. Sasa wewe unadhani kuwa simfahamu huyo !?

Ila binafsi, sijui kama hana vyeti au amefoji nachojua kuwa ni mteule wa rais na anafayanya kazi basi.
 
Back
Top Bottom