britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,090
- 32,852
Kampgia simu jana kummweleza kuwa wapo pamoja,
======
Mhe. Rais Magufuli azungumza kwa simu na Kansela wa Ujerumani Mhe. Angela Merkel. Wazungumzia kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wa Tanzania na Ujerumani hususani katika uchumi.
======
Mhe. Rais Magufuli azungumza kwa simu na Kansela wa Ujerumani Mhe. Angela Merkel. Wazungumzia kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wa Tanzania na Ujerumani hususani katika uchumi.