Rais Magufuli awavutia Waganda

Rais Magufuli awavutia Waganda

Jikomboeni kwanza na utumwa wa akili, hakuna atayewakomboa bali kila mtu atajikomboa kwa nafsi yake. Katika mataifa yote ya dunia ya kwanza (yaliyoendelea) ni lipi lilipiga hatua kwa kutumia lugha ya kigeni, ujerumani, ufaransa, Italy, urusi, uholanzi, Sweden, wachina, wakorea, wajapan? Lipi taifa niambieni
NB:ni rahisi sana kumfundisha mtu kwa kutumia lugha ya mama au anayoielewa kwa ufasaha anaelewa na kitu kinadumu kwenye ubongo wake kwa mda mrefu kuliko kamkalilisha kwa lugha za kigeni uelewa wake unashuka na hata kama anaelewa kitu hicho hakitadumu kwa mda mrefu
 
tumpe mheshimiwa rais muda ili tuone atakavyo tuongoza kufikia lengo la MAENDELEO katika Nyanja mbali mbali.
In the end it is deliverables which counts
 
Mnajitahidi kupamba kwa kutumia nguvu, sidhani kama yaliyotokea yote pale kushangiliwa ndio iwe story kubwa.
Kama hupendi kula sumu ya panya; ebho!
 
Hakuna kitu kama hicho, mimi niliangalia hilo tukio wakati akitambulishwa tena alimtambulisha kwa kilugha na watu hawakujali sana wala sikuona wala kusikia hizo shangwe. Aliyeshangiliwa ni Mugabe tu! Acheni kuandika habari zisizo na maana kama hizo ili mradi eti msikike mmeandika habari kuhusu Magufuli
Wenye wivu wajinyonge, majipu mtalialia sana mwaka huu!
 
Ushawahi kwenda hospitali kumuona daktari akakuandikia cheti kwa Kiswahili, Wachina wao huandika kwa Kichina. Ushawahi kuona degree kwetu inasomeshwa kwa Kiswahili? China zinatolewa kwa Kichina. Ushawahi kununuwa kifaa cha umeme kipya kama jokofu au runinga na ukapata maelezo yake ya matumizi kwa Kiswahili? China zinaandikwa kwa Kichina. Ushawahi kumuona Raisi wa China angalau akijaribu kutumia hata neno moja la Kiengerza katika mawasiliano yake? Jawabu hapana. Hata katiba ya JMT imeandikwa kwa Kiengereza! Nafikiri ushafahamu kwa nini Kiengereza ni muhimu kwetu sisi mpaka sasa hivi.
Tawile!!
 
tumpe mheshimiwa rais muda ili tuone atakavyo tuongoza kufikia lengo la MAENDELEO katika Nyanja mbali mbali.
In the end it is deliverables which counts
Kama ndo hivyo basi subiri maendeleo baada ya miaka 500 maana bado ana issue ya sukari.
 
Hongera watu Wa Uganda kwa kutambua mchango wa Rais Magufuli katika kuleta mabadiliko Africa mashariki.

Ndio maana hata mseveni ametangaza vita zidi ya ufisadi
 
We endelea na kingereza chako, kuna wachina kibao mabilionea kingereza hawajui kabisa, binafsi sioni kama Lugha ni kikwazo katika kufanya kazi, kikubwa ni akili na juhudi zako katika kulifanya unalolifanya.[/QUOTE
Watanzania wengi much know halafu wengi washamba. Wahat is English ? Hawajui kuna marais wengine wanatasiriwa ? Kinachotakiwa ni ubora wa kazi
 
Ndio wanashangiliwa kwa kukuza uchumi wa nchi zao, shida iko wapi? Kwani nimesema hajashangiliwa? Umesoma shule za katazilizokosa walimu nini? hasira ya kutojua maana peleka kwenu.
Tatizo la kuwa baby ndio hilo..... Hutaki kukubali kama lowasa alishindwa urais na rais ni magufuli now
 
Tatizo la kuwa baby ndio hilo..... Hutaki kukubali kama lowasa alishindwa urais na rais ni magufuli now
Unazidi kujiaibisha, kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo, LOWASA anatoka wapi hapa? Think big acha kukariri maneno ya mateja au umezoea kupakatw ukisikia baby kuna sehemu inakutekenya? maana umakariri sana hilo neno.
 
Mnajitahidi kupamba kwa kutumia nguvu, sidhani kama yaliyotokea yote pale kushangiliwa ndio iwe story kubwa.




Vipi angalikuwa Mamvi, unadhani wangalizungusha (waganda) mikono?

Acha roho mbaya
 
Unazidi kujiaibisha, kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo, LOWASA anatoka wapi hapa? Think big acha kukariri maneno ya mateja au umezoea kupakatw ukisikia baby kuna sehemu inakutekenya? maana umakariri sana hilo neno.
Mnambeza sana rais Magufuli ndio maana mnaitwa mababy pale bungeni
 
Mugabe, Al Bashir, Nkurunzinza, Kagame, Kabila ......Wanafanana sana. JPM hafanani nao kabsia hawa jamaa. Wale wenzangu na mimi ambao mmeshaanza kushauri Rais wetu naye aongeze muda baadaye, acheni kabisa hiyo maneno. JPM apige kazi na atoke madarakani muda wake utakapofika na wakati wote tukiwa tunamhitaji/tukimlilia. Hiyo ndiyo legacy inayotakiwa kuachwa na marais wa kiafrika.
 
Hakuna kitu kama hicho, mimi niliangalia hilo tukio wakati akitambulishwa tena alimtambulisha kwa kilugha na watu hawakujali sana wala sikuona wala kusikia hizo shangwe. Aliyeshangiliwa ni Mugabe tu! Acheni kuandika habari zisizo na maana kama hizo ili mradi eti msikike mmeandika habari kuhusu Magufuli
Uliangalia wapi wewe!!?
Wacha unafiki
 
Back
Top Bottom