Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
Magufuli!Source?
Magufuli!Source?
Kama hupendi kula sumu ya panya; ebho!Mnajitahidi kupamba kwa kutumia nguvu, sidhani kama yaliyotokea yote pale kushangiliwa ndio iwe story kubwa.
Wenye wivu wajinyonge, majipu mtalialia sana mwaka huu!Hakuna kitu kama hicho, mimi niliangalia hilo tukio wakati akitambulishwa tena alimtambulisha kwa kilugha na watu hawakujali sana wala sikuona wala kusikia hizo shangwe. Aliyeshangiliwa ni Mugabe tu! Acheni kuandika habari zisizo na maana kama hizo ili mradi eti msikike mmeandika habari kuhusu Magufuli
Tawile!!Ushawahi kwenda hospitali kumuona daktari akakuandikia cheti kwa Kiswahili, Wachina wao huandika kwa Kichina. Ushawahi kuona degree kwetu inasomeshwa kwa Kiswahili? China zinatolewa kwa Kichina. Ushawahi kununuwa kifaa cha umeme kipya kama jokofu au runinga na ukapata maelezo yake ya matumizi kwa Kiswahili? China zinaandikwa kwa Kichina. Ushawahi kumuona Raisi wa China angalau akijaribu kutumia hata neno moja la Kiengerza katika mawasiliano yake? Jawabu hapana. Hata katiba ya JMT imeandikwa kwa Kiengereza! Nafikiri ushafahamu kwa nini Kiengereza ni muhimu kwetu sisi mpaka sasa hivi.
Kama ndo hivyo basi subiri maendeleo baada ya miaka 500 maana bado ana issue ya sukari.tumpe mheshimiwa rais muda ili tuone atakavyo tuongoza kufikia lengo la MAENDELEO katika Nyanja mbali mbali.
In the end it is deliverables which counts
nina wasiwasi hapa tatizo
We endelea na kingereza chako, kuna wachina kibao mabilionea kingereza hawajui kabisa, binafsi sioni kama Lugha ni kikwazo katika kufanya kazi, kikubwa ni akili na juhudi zako katika kulifanya unalolifanya.[/QUOTE
Watanzania wengi much know halafu wengi washamba. Wahat is English ? Hawajui kuna marais wengine wanatasiriwa ? Kinachotakiwa ni ubora wa kazi
Tatizo la kuwa baby ndio hilo..... Hutaki kukubali kama lowasa alishindwa urais na rais ni magufuli nowNdio wanashangiliwa kwa kukuza uchumi wa nchi zao, shida iko wapi? Kwani nimesema hajashangiliwa? Umesoma shule za katazilizokosa walimu nini? hasira ya kutojua maana peleka kwenu.
Unazidi kujiaibisha, kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo, LOWASA anatoka wapi hapa? Think big acha kukariri maneno ya mateja au umezoea kupakatw ukisikia baby kuna sehemu inakutekenya? maana umakariri sana hilo neno.Tatizo la kuwa baby ndio hilo..... Hutaki kukubali kama lowasa alishindwa urais na rais ni magufuli now
Mnajitahidi kupamba kwa kutumia nguvu, sidhani kama yaliyotokea yote pale kushangiliwa ndio iwe story kubwa.
Mabalozi wa US, European na Canada walisusia na kuondoka baada ya Museveni kuongelea suala la ICC
Sijui walijisikiaje![]()
Mnambeza sana rais Magufuli ndio maana mnaitwa mababy pale bungeniUnazidi kujiaibisha, kudhihirisha upeo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo, LOWASA anatoka wapi hapa? Think big acha kukariri maneno ya mateja au umezoea kupakatw ukisikia baby kuna sehemu inakutekenya? maana umakariri sana hilo neno.
Uliangalia wapi wewe!!?Hakuna kitu kama hicho, mimi niliangalia hilo tukio wakati akitambulishwa tena alimtambulisha kwa kilugha na watu hawakujali sana wala sikuona wala kusikia hizo shangwe. Aliyeshangiliwa ni Mugabe tu! Acheni kuandika habari zisizo na maana kama hizo ili mradi eti msikike mmeandika habari kuhusu Magufuli
Ahsante. Hii mishetani mengine inatufanya sisi wote wajinga watudanganye wanavyotaka huku wao wakiwapeleka watoto wao shule zinazofundisha na kuongoza kwa Kiengereza. Wakubali tu kama Mpendwa Raisi wetu lugha inampiga chenga, and there is no shame on that and we care less about it. Period!Tawile!!