Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,214
- 128,976
https://www.jamiiforums.com/threads...wa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wakitambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama hicho Rais John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM. kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020.
Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro, aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David Mwashilindi, aliyekuwa Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Bw. Katani Ahmed Katani na aliyekuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Bw. Fanuel Kyanula #Mwananchi
View attachment 1371677
In God we Trust
Hongera zao kujitambua.
P