Tangu 2015 hadi leo katengua na kuteua mara ngapi? tukahifadhi rekodi makumbushoMkuu wa wilaya na Mkurugenzi wake wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro wametenguliwa kwa pamoja leo tarehe 17/9.
Raisi Magufuli ametengua uteuzi wao na nafasi zao zitajazwa hapo baada.
Waliosema ivumayo haidumu hawakuwa mafalaHuyu si amepewa kazi hata mwaka haujaisha!!! Majivuno? Majigambo? Tamaa ya pesa au nini chanzo cha yote?
leta supporting documents za ulichokisema.Wamepiga 1.5B wamepewa siku 3 kuzirudisha
Subiri,muda utajibuleta supporting documents za ulichokisema.
Waliosema ivumayo haidumu hawakuwa mafala
Yajayo yanafurahisha!Kuna sehemu nimepita nakutana watu wanabishana eti walizidi sana, kuja kuuliza nikaambiwa wewe kwani uko dunia ipi. Si wale viongozi wakubwa wa Malinyi.
Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi wake wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro wametenguliwa kwa pamoja leo tarehe 17/9.
Raisi Magufuli ametengua uteuzi wao na nafasi zao zitajazwa hapo baadae!
Mtake radhi PaskaliZamu ya Paskali sasa
Naomba kuweka kumbukumbu sawaKama nawaona hivi wakitembea kwenda Ikulu kuomba "msamaha" maana kitumbua kimeingia mchanga.
Hivi huyu DED si ndugu na yule RC wa kule Manyara?? Ndio shida ya kujaza familia kwenye utawala.Kuna sehemu nimepita nakutana watu wanabishana eti walizidi sana, kuja kuuliza nikaambiwa wewe kwani uko dunia ipi. Si wale viongozi wakubwa wa Malinyi.
KuitwaMtake radhi Paskali