Kasim Majaliwa alisema hivi....Tatizo lipo kwa nani?
Hizo sio habari tena tulisha zoea hao ni watu wadogo sanaa......Kuna sehemu nimepita nakutana watu wanabishana eti walizidi sana, kuja kuuliza nikaambiwa wewe kwani uko dunia ipi. Si wale viongozi wakubwa wa Malinyi.
Hawa walikuwa hawaongei yaani hawapatani ni kama vile walikuwa wanafukuzia maslai wanadhulumiana, waziri mkuu alisema hata ukiwaweka chungu kimoja hawaiviWamepiga 1.5B wamepewa siku 3 kuzirudisha
Hiii sio zamu ya Musiba kupewa U-dc kweli?
Kama ni waadilifu hawapaswi kuwa na hofu.Yaani wenye hizo teuzi za JPM "wasile vitu vya watu" kwa kutegemea kuwa watalipa mwisho wa mwezi wakipata mshahara, lolote laweza kuwapata kabla hawajapata mshahara husika
Ungetaja kampuni za Kebwe ingependeza mkuuShida ya mkoa wa Morogoro chanzokikubwa ni mkuu wa mkoa. Mkuu wa mkoa ndiye anayewagawa na kutengeneza makundi kwa kuwa anatumia ofisi kufanya biashara zake.Ninaomba nikwambie hadi sasa mkoa wote wa morogoro ni wilaya moja tu yenye utulivu, but Wilaya zingine zote kunamisuguano mikali. Majura hadi sasa Malinyi ameshagombana na MADED 3 na wote hao RC alikuwa anamkingia kifua. Alikuwa na kampuni zake na lazima zipewe tenda na wanagawana na mkubwa wa Morogoro. Mh Rais afumbe macho, amtengue kwanza mkuu wa mkoa ndipo Morogoro itatulia, vinginevyo matatizo yatendelea Morogoro. Pale jasiri ni SHAKA H SHAKA TU, Hata mwenyekiti wa CCM wa mkoa yupo kwenye gengela Rc. Ndiyo maana hata juzi baada ya Shaka kusema vile jioni Mwenyekiti alimfokea kuwa asingesema. Na kwenye gari viongozi wengine wa CCM waliokuwa wanahongwa na Majura walianza kumlaumu SHAKA KATIBUWA CCM MKOA WA MOROGORO.