pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,274
- 3,075
Happy birthday doctor mwele
Yupo huko WHO Africa sasa.Mdomo uliponza kichwa
Sio kama yule Prof Assad. Kukana deni la Taifa.Professionalism matters most.
Sijui huko mbunguni watapeana mikono, bora Samia amemalizana na Mbowe kiaina kupitia kwa Mkamu LisuMdomo uliponza kichwa.
Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi
Rais Magufuli amenukuliwa akisema haya.. Wakati tunaingia madarakani tuliambiwa Tanzania kuna ugonjwa wa Zika, aliyetangaza na aliyetumiwa kutangaza nikamfukuza kazi (bahati mbaya ni Mgogo); Baada ya kumfukuza yule Mgogo aliyesema Tanzania kuna Zika na waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi...www.jamiiforums.com