Jamaa kama vile hajui kazi waliyotoka kuitekeleza soon! Anasemaga Erythrocyte kuwa shetani hana rafiki.Mbuzi wa kafara huyo, hawa maDED waliwanyanyasa sn wapinzani kwa kumpendelea dikteta, acha wafukuzwe wakajifunze kulinda heshima za watu.
Dikteta huwa hana rafiki wa kudumuJamaa kama vile hajui kazi waliyotoka kuitekeleza soon! Anasemaga Erythrocyte kuwa shetani hana rafiki.
Bado TemekeJamaa kama vile hajui kazi waliyotoka kuitekeleza soon! Anasemaga Erythrocyte kuwa shetani hana rafiki.
Full futuhi babake....nasubiri TMK siku akipita sijui ataropoka lipiImeisha - Futuhi.
ohh kumbe ni Baba yako?Kumbe Baba leo yupo Igunga, da yaani jamaa jana alikuwa mkurugenzi leo sio mkurugenzi, cheo ni dhamana