Ni lugha ya kimafumbi mzee baba wajeda tu ndio tunaelewana...😁😁Nzuri nini??
I mean kimafumbo.Ni lugha ya kimafumbi mzee baba wajeda tu ndio tunaelewana...😁😁
It's not even a big deal
Ifike wakati muache kujikomba basi,hili nalo ni la kuanzishia uzi?
ha ha mazafantaIngekuwa siyo habari usingesoma.
Bado kidogo utasikia wanaanza kuripoti amekula maharage, na masifa kibao.
Na usikute na Msemaji wa Ikulu kaandikaIt's not even a big deal
Ifike wakati muache kujikomba basi,hili nalo ni la kuanzishia uzi?
Na usikute na Msemaji wa Ikulu kaandika