Ata ukifa , sanamu yako itatundikwa(picha).Kwahiyo hiyo sanamu ndio itawekwa badala ya ile ya askari pale round about
Ata ukifa , sanamu yako itatundikwa(picha).Kwahiyo hiyo sanamu ndio itawekwa badala ya ile ya askari pale round about
Ata ukifa , sanamu yako itatundikwa(picha).
Kiukweli niwe muwazi bibi yangu FaizaFoxy umenigusa sana! Japo wewe ni muslim lakini umepewa hekima kubwa sana ya kutambua ni wapi wakristo tunapopingana na neno la Mungu.Kuabudu Sanamu:
Hii pia ni ibada ya msingi katika dini ya Kikristo ambapo sala za waumini wake (Wakristo) huwa hazitimii bila ya kuomba na kuabudu sanamu. Masanamu yanayohusishwa zaidi katika ibada hizo ni pamoja na sanamu la mungu-mtu Yesu wa Kikristo akiwa amebebwa na mama yake (Madona) na kumpa cheo cha umama wa mungu. Yaani Theotokos (“Mother of God”), na kwenye sanamu lingine akiwa amekufa msalabani, sanamu la "Bikira Maria", sanamu la malaika na masanamu mengine mengi ya watakatifu wa Kikristo waliokufa!
Kama maandiko ya Biblia tukufu yafundishavyo, ibada hii (ya sanamu) ifanywayo na Wakristo, kiasili imetokana na watu wa mataifa (wapagani). Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maandiko yafuatayo:
"Bali walijichanganya na mataifa, wakajifunza matendo yao.Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao".
(Zaburi 106:35-36).
Lakini kwa kuwa Lucifer amewapoteza wakasahau hata haya maonyo halali ya M'Mungu:
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini ya dunia; Usivisujudie; wala kuvitumikia; kwa kuwa Mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu, mwenye wivu...
Kutoka 20:4 kjv
Kwa uchache, maandiko hayo juu yanathibitisha wazi kuwa waasisi na wahusika wakuu wa ibada hiyo (ya sanamu) ni watu wa mataifa, yaani wapagani.
Sambamba na ukweli huo, Biblia haikuacha pia kubainisha jinsi M'Mungu alivyowakemea wanadamu tangu mapema kujaribu kuchonga (kufanya) na kuabudu sanamu, kama ifuatavyo:
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumbukumbu la Torati 5:8-9).
Chanzo: Amua Sasa: Biblia Na Mwenyezi Mungu
Huyu bibi nnachompendea anasoma biblia kuliko hata wakristo wenyeweKiukweli niwe muwazi bibi yangu FaizaFoxy umenigusa sana! Japo wewe ni muslim lakini umepewa hekima kubwa sana ya kutambua ni wapi wakristo tunapopingana na neno la Mungu.
Ubarikiwe sana sana sana.
Tatizo ni kufa? Yesu naye alikufa so? Wewe ndiye unaamini katika kufa sisi tunaamini katika kuishi baada ya kufa. Aaminiye hatakufa na ajapokufa ataishi...Mauti imeshindwa kwa kuwa Yesu alivunja minyoriro yake alipofufuka.Pitia biblia vizuri na usome kwa unyenyekevu.
Tatizo ni kuombea watu? Hii ni ajabu sana wachungaji wengi tu wanaombea watu siku hizi lakini hambezi. Binadamu na hasa sisi wakatoliki tumeaswa kuombeana sisi kwa sisi,na tunafanya hivyo and that is biblical tena tunawaombea hata wasio na imani kama wewe, hata wanaotuudhi (kama baadhi ya wachangiaji humu) na wasiomjua Mungu. Kama binadamu wenye kupungukiwa na utukufu wanaweza kuwaombea binadamu wenzao kwa Mungu kuna tatizo gani mwenye heri na mbarikiwa mno aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji la nyota 12 kama Bikira Maria na watakatifu na wafia dini kuwaombea wanadamu kwa Yesu?
Watakatifu wa Mungu wangalipo duniani na mbinguni.na wote wanashirikiana kupitia kwa Yesu Kristo kutufikisha kwa baba wa mbinguni
Sent using Jamii Forums mobile app
Luke 1. 48Ndugu yangu, unaweza kunionyesha popote katika Biblia ambapo panataka Bikira maria aheshimiwe kama mnavyo jaribu kuaminishwa??
Ukiacha hayo maneno kumuhusu Yesu mengine yote uliyoandika ni kweli tupu ajabu wale wajiitao wakristo hawajui hayo wanaendeleza ibada ya sanamuKiukweli niwe muwazi bibi yangu FaizaFoxy umenigusa sana! Japo wewe ni muslim lakini umepewa hekima kubwa sana ya kutambua ni wapi wakristo tunapopingana na neno la Mungu.
Ubarikiwe sana sana sana.
Awamu hii msitegemee Kanisa Katoliki litasema kitu kuhusu huyu jamaa.
Bila shaka "waliongea mengi" (Kilichompeleka) ndio wakapeana hiyo zawadi.
Mkuu mimi shida zangu zote huzitupa kwake na huwa najitupa miguun pake na huwa ananiokoa ile mbaya wengine ni bakhita, inyasi na thadei
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi watu povu linawatokaaaa..
Kwani mkipita bila kukashifu inawacost nini
Ndio keshapokea sanamu na hilo zinawad yake yy na familia .
KAMA HUTAKI ..KUNYA BOGA...
Ukitaka kujua nguvu ya Mama wa Mungu Bikira Maria fanya novena kupitia yeye,alikamyanga shetani(joka)kwa miguu yake,ndio kimbilio letu
hakuna tatizo kabisa kila mtu na imani yake hata angempa rozali ni sawa kabisa humu ndo mkuza mambo,akiwa ndo mama yetu tunayemheshimu hakuna tatizo kabisa.
sitashangaa wakienda dhehebu lingine na kumkabithi Biblia hakuna tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bible!!? which version? there are more than 100, no two are identical!!!!aaaaah! now you are talking. TBS? ndio aliacha TBS. the bible itself which the catholics banned viciously and used what they called/call Dogma to decieve people about God.
Bible!!? which version? there are more than 100, no two are identical!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app