ngumbuke
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 458
- 460
Sahihisha kauli yako.
Hiyo kitu ya kuomba msaada kwa Mariamu ipo kwenye imani ya kikatoliki tu. Sio imani ya Ukristo unaoelezwa kwenye biblia.
Msaada wa wakristo unapatikana kutoka kwa Roho Mtakatifu kwa njia ya Yesu Kristo pekee. (YOHANA 14:26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa
Sahihisha kauli yako.
Hiyo kitu ya kuomba msaada kwa Mariamu ipo kwenye imani ya kikatoliki tu. Sio imani ya Ukristo unaoelezwa kwenye biblia.
Msaada wa wakristo unapatikana kutoka kwa Roho Mtakatifu kwa njia ya Yesu Kristo pekee. (YOHANA 14:26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia)
Ni kweli yatuhusu Wakatoliki tu......Kumbe yakupasa kutokuchangia. Usome kisha uachane nayo au usiisome kabisa.
Sababu ya furaha yetu.......utuombeee!