Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Chama chini ya Rais Magufuli kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook
So what
Kikao cha kupanga wizi wa kura.
Bila CCM hakuna umaskini.Bila Ccm hakuna amani
Toa ujinga wako umefika mipakani kuona wanao imarisha amani au una bwabwaja tu?Bila Ccm hakuna amani
Ni jambo jema!View attachment 1474233
Chama chini ya Rais Magufuli kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook
Bila CCM hakuna umaskini.
Toa ujinga wako umefika mipakani kuona wanao imarisha amani au una bwabwaja tu?
CCM inatawala mpaka vyama pinzani.
Yani CCM ina watu ndani ya Chadema kwa maslai ya CCM.
wakati babu yako hana mbele wala nyuma.Umasikini unapungua sana
Baba zakoKina nani hao
Ohooowakati babu yako hana mbele wala nyuma.
kama vile Magu alivyokaa na wasaliti ndani mwake hadi siri za ndani zinaanikwa twitterCCM inatawala mpaka vyama pinzani.
Yani CCM ina watu ndani ya Chadema kwa maslai ya CCM.