Presdent nashauri anzisha harambee ya kuchangia ujenzi wa reli kuongezea nguvu hela za serikali zinazotengwa kwa ajili ya kazi hiyo. Hii reli tuijenge wenyewe na tunauwezo wa kufanya hivyo. Hapa suala ni kujiamini na kujitoa tu. Tuache kuona sisi hatuwezi na kuwa na akili ya utegemezi tuliyorithishwa na waliotufanya sisi ni watumwa. Mambo makubwa hufanywa na binadamu.
1. Ita wafanyabiashara wote wakubwa fanya nao harambee. Hili lifanyike kote, tembea nchi nzima, nenda mikoani na wilayani.
2. Kusanya wanasiasa wote popote utakapoenda mikoani na wilayani fanya nao harambee. Tena ikiwezekana ukisha fanya nao harambee pia chukua mishahara yao yote ya mwezi mzima. Waambie huko ndiko kutumikia wananchi kihalisia. Katika hili usisahau watu kama Chenge kuwabana vizuri.
3. Kusanya wanazuoni waliotukuka fanya nao harambee.
4. Kwa watu mafukara kama mimi, fungua acount tutakuwa tunatupia miambili mbili humo. Lakini hili liende na uhamasishaji.
5. Wafanyakazi wote wa umma na binafsi wenye take home isiyopungua `M` moja wajitolee kukatwa asilimia 10 kwa muda wa miezi mitatu mfululizo (washawishiwe, wanaweza).
6. Makanisa yana hela sana yachangie. Kila kanisa litoe asilimia 10 ya mapato/sadaka yake kila wiki mpaka reli itakapoisha.
SP: Najua nitashambuliwa sana hapa, lakini haya ni mwazo yangu ya namna ninavodhani itasaidia kusukuma mbele zaidi ya hapa tulipo kwenye suara la ujenzi wa reli. Ikumbukwe kwa dhamira yangu ya dhati ningelipenda hii reli tuijenge wenyewe bila mikopo ambayo baadaye inakuwa mzigo kwetu. Kuna usemi usemao WHO GOES A-BORROWING GOES A-SORROWING, hebu tuepuka kitu kama hicho.
1. Ita wafanyabiashara wote wakubwa fanya nao harambee. Hili lifanyike kote, tembea nchi nzima, nenda mikoani na wilayani.
2. Kusanya wanasiasa wote popote utakapoenda mikoani na wilayani fanya nao harambee. Tena ikiwezekana ukisha fanya nao harambee pia chukua mishahara yao yote ya mwezi mzima. Waambie huko ndiko kutumikia wananchi kihalisia. Katika hili usisahau watu kama Chenge kuwabana vizuri.
3. Kusanya wanazuoni waliotukuka fanya nao harambee.
4. Kwa watu mafukara kama mimi, fungua acount tutakuwa tunatupia miambili mbili humo. Lakini hili liende na uhamasishaji.
5. Wafanyakazi wote wa umma na binafsi wenye take home isiyopungua `M` moja wajitolee kukatwa asilimia 10 kwa muda wa miezi mitatu mfululizo (washawishiwe, wanaweza).
6. Makanisa yana hela sana yachangie. Kila kanisa litoe asilimia 10 ya mapato/sadaka yake kila wiki mpaka reli itakapoisha.
SP: Najua nitashambuliwa sana hapa, lakini haya ni mwazo yangu ya namna ninavodhani itasaidia kusukuma mbele zaidi ya hapa tulipo kwenye suara la ujenzi wa reli. Ikumbukwe kwa dhamira yangu ya dhati ningelipenda hii reli tuijenge wenyewe bila mikopo ambayo baadaye inakuwa mzigo kwetu. Kuna usemi usemao WHO GOES A-BORROWING GOES A-SORROWING, hebu tuepuka kitu kama hicho.