Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 997
- 2,931
Una akili chache mnyama poriRais anateua Mwenyekiti ili kukamilisha column waziri mwenye dhamana anateua wajumbe wa baraza. Kwa hiyo aliyeteuliwa na Rais ni mwenyekiti wa baraza la ushindani lakini wajumbe wa baraza hilo wameteuliwa na waziri. Sidhani kama kateukiwa na raisi na hata kama angeteuliwa na raisi sioni tatizo kwa sababu nae ni mtanzania kama mimi. Kinachoangaliwa ni sifa na sio vingnevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app