Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Mchezaji wa kimataifa kutoka anayechezea Simba FC anayejulikana kwa jina la Cleofas Chama amefunguka ya moyoni kuhusu Rais Magufuli
Namnkuu "Tanzania inabahati inabahati kubwa kupata Rais aina ya Magufuli nafikiri kila Nchi ya Africa ingetamani kuwa na Rais kama Magufuli " anaendelea
"nyumbani kwetu kila mtu huniulizia habari za Rais Magufuli ninapikuwa likizo kwa ufupi Rais Magufuli anapendwa sana kwetu" mwisho wa kunukuu
Ikumbukwe huyu mchezaji anamwaka mmoja tu Tanzania ila tayari ameweza kutambua uzalendo wa Rais Magufuli
Watanzania tunakitu cha kujifunza hapa
Hongera Rais Magufuli uchapakazi wako umevuka mipaka sisi Watanzania tunazidi kukuombea ulete maendeleo Tanzania
Credit: East Africa radio
Namnkuu "Tanzania inabahati inabahati kubwa kupata Rais aina ya Magufuli nafikiri kila Nchi ya Africa ingetamani kuwa na Rais kama Magufuli " anaendelea
"nyumbani kwetu kila mtu huniulizia habari za Rais Magufuli ninapikuwa likizo kwa ufupi Rais Magufuli anapendwa sana kwetu" mwisho wa kunukuu
Ikumbukwe huyu mchezaji anamwaka mmoja tu Tanzania ila tayari ameweza kutambua uzalendo wa Rais Magufuli
Watanzania tunakitu cha kujifunza hapa
Hongera Rais Magufuli uchapakazi wako umevuka mipaka sisi Watanzania tunazidi kukuombea ulete maendeleo Tanzania
Credit: East Africa radio