mkuu tafuta kitabu kinachoitwa Jonas Savimbi,A KEY TO AFRICA,by Fred Brigland,kisome hicho kitabu na soma vile vile kuhusu upande wa MPLA na viongozi wake,then utakuwa in a position ya kuamua kama Savimbi alikuwa mwasi au la;ukweli kuhusu hii so called liberations parties hasa huku kusini mwa Africa unaanza kujitokeza kwa hiyo usiwe mvivu wa kujisomea ili upate upande wa pili wa story.Watanzania tutashutuka baada ya mambo kuharibika hata hitila alikuwa na wafuasi wengi mabutu seseko alikuwa na wafuasi kibao hata muhasi Jonas savimbi naye alikuwa na wafuasi lakini wazawa walishituka baadaye
Watanzania tutashutuka baada ya mambo kuharibika hata hitila alikuwa na wafuasi wengi mabutu seseko alikuwa na wafuasi kibao hata muhasi Jonas savimbi naye alikuwa na wafuasi lakini wazawa walishituka baadaye
Wameharibu hata ubongo wa vijana, wanadai eti mihimili mingine inakwamisha maendeleo tumwache rais afanye kazi!!! Huwa natamani kulia kusikia jinsi baadhi ya watu walivyooza akili kabisa!
waliniweka wao wenyewe kwa malengo mahususi wanayoyafahamu wao wenyewe. Yawezekana wameridhika maana huu ukimya wao una kishindo kizito.Absolutely true
Hivi hao viongozi wastaafu hawazioni "indicators" zote zinazoonyesha kuwa nchi yetu hivi sasa inatawaliwa kidikteta??
Ni kwanini hawajitokezi na kukemea mwenendo huu wa utawala wa serikali ya awamu ya tano??
Wanasubiri kuona damu ikimwagika nchini, ndipo watakapoingilia kati??
Mfano Pascal Mayalla na yule mzee wa kijijini Marekani. Uwezo wao umeporomoka, kisa jiwe.. Du.Wameharibu hata ubongo wa vijana, wanadai eti mihimili mingine inakwamisha maendeleo tumwache rais afanye kazi!!! Huwa natamani kulia kusikia jinsi baadhi ya watu walivyooza akili kabisa!
Uwezo wa kufikiri wa waTZ unaelekea kuuliwa kabisa!! Tutakuwa taifa la watu wapumbavu kabisa tusioweza kupambanua mambo hata madogo tu!!
Kiongozi huyu hatufai kabisa!! Anaua uwezo wa kufikiri!! Kwa watu wenye akili hata kidogo, huyu hafai kabisa kuendelea na kazi hii ....
Ulikua hujasikia hbr ya mhimili mmoja kuwa umejichimbia zaidi?Una uelewa mbovu kuhusu separation of power. Kutoa mishahara ulinzi na kukusanya kodi ni majukumu waliyopewa na katiba, na wengine walipewa wajukumu mengine. Haimaanishi mhimili mmoja uko juu ya mwingine.
Nilimsikia sana, si aliulizwa na Pascal MayallaUlikua hujasikia hbr ya mhimili mmoja kuwa umejichimbia zaidi?