Rais Magufuli alisaini msaada wa bilioni 500 wenye masharti yafuatayo...

BAKOI

JF-Expert Member
Jan 31, 2016
1,211
2,329
Leo JPM kakutana na Balozi wa EU na kusaini makubaliano ya kupewa msaada wa £205M (takribani shilingi Bilioni 500) kwa miaka5; lakini kwa masharti. JPM amesaini na kukubaliana na masharti hayo ambayo ni;

1. Kuhakikisha uhuru wa habari na uhuru wa kutoa mawazo

2. Kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar

3. Kuguarantee uhuru wa asasi za kiraia

4. Kukomesha tabia ya vyombo vya dola (coersive apparatus) kuwatia nguvuni wabunge.

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Nawasubiri wale vijana wa Lumumba waliomshangilia JPM alipotamka kwamba hatakubali misaada yenye masharti. Kwamba sisi ni matajiri na tunaweza kujitegemea bila kusaidiwa. Mkamshangilia. Huyo mliyemshangilia leo amessurender.

Ameyameza maneno yake mwenyewe. Tulisema suala la kujitegemea ni zuri lakini liwe na utaratibu. Huwezi kuibuka tu na kusema leo tunajitegemea wakati hujaweka misingi. Ni sawa na kudai mtoto wakati hukuwahi kubeba mimba.

Tuliuliza tumejiandaaje? Vijana wa Lumumba mkapayuka ooh hata kama hatuna kitu tutaanza hivyohivyo. Boss wenu nae akawaunga mkono kuwa hataki misaada yenye masharti. Leo amesurrender.

Njooni mumshangilie tena.
 
Leo JPM kakutana na Balozi wa EU na kusaini makubaliano ya kupewa msaada wa £205M (takribani shilingi Bilioni 500) kwa miaka5; lakini kwa masharti. JPM amesaini na kukubaliana na masharti hayo ambayo ni;

1. Kuhakikisha uhuru wa habari na uhuru wa kutoa mawazo
2. Kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar
3. Kuguarantee uhuru wa asasi za kiraia
4. Kukomesha tabia ya vyombo vya dola (coersive apparatus) kuwatia nguvuni wabunge.

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Nawasubiri wale vijana wa Lumumba waliomshangilia JPM alipotamka kwamba hatakubali misaada yenye masharti. Kwamba sisi ni matajiri na tunaweza kujitegemea bila kusaidiwa. Mkamshangilia. Huyo mliyemshangilia leo amessurender. Ameyameza maneno yake mwenyewe. Tulisema suala la kujitegemea ni zuri lakini liwe na utaratibu. Huwezi kuibuka tu na kusema leo tunajitegemea wakati hujaweka misingi. Ni sawa na kudai mtoto wakati hukuwahi kubeba mimba. Tuliuliza tumejiandaaje? Vijana wa Lumumba mkapayuka ooh hata kama hatuna kitu tutaanza hivyohivyo. Boss wenu nae akawaunga mkono kuwa hataki misaada yenye masharti. Leo amesurrender. Njooni mumshangilie tena. [HASHTAG]#Misukule[/HASHTAG].!
Mkuu,The Bottom line ya mpaka kupewa hizo pesa ni kuwa EU wana IMANI na serikali ya rais Magufuli na yale anayoyafanya. Japokuwa yeye si Malaika.
Kumbuka katika awamu ya 4 misaada mikubwa ya EU ilikuwa imesimama.
Hayo mengine ni YAKO!
 
Alifikiri kuongoza Nchi ni sawa na kuongoza familia ya watu watano.

Safi sana, hayo mashari yaanze kutekelezwa mapema.
[HASHTAG]#tunamtakaRoma2030[/HASHTAG]

Wewe na mleta mada mna mawazo kama ya wakimbizi! Mtaendelea kuota ndoto za mabwana wa upande wenu kutawala nchi milele, kama aina ya wafuasi wao wana mawazo kama hayo mnayoandika.

Nadhani hamjui misingi wa uchumi na jinsi Serikali inavyoweka mikakati ya kuongeza fursa za kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja, kikundi, nk.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Leo JPM kakutana na Balozi wa EU na kusaini makubaliano ya kupewa msaada wa £205M (takribani shilingi Bilioni 500) kwa miaka5; lakini kwa masharti. JPM amesaini na kukubaliana na masharti hayo ambayo ni;

1. Kuhakikisha uhuru wa habari na uhuru wa kutoa mawazo
2. Kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar
3. Kuguarantee uhuru wa asasi za kiraia
4. Kukomesha tabia ya vyombo vya dola (coersive apparatus) kuwatia nguvuni wabunge.

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Nawasubiri wale vijana wa Lumumba waliomshangilia JPM alipotamka kwamba hatakubali misaada yenye masharti. Kwamba sisi ni matajiri na tunaweza kujitegemea bila kusaidiwa. Mkamshangilia. Huyo mliyemshangilia leo amessurender. Ameyameza maneno yake mwenyewe. Tulisema suala la kujitegemea ni zuri lakini liwe na utaratibu. Huwezi kuibuka tu na kusema leo tunajitegemea wakati hujaweka misingi. Ni sawa na kudai mtoto wakati hukuwahi kubeba mimba. Tuliuliza tumejiandaaje? Vijana wa Lumumba mkapayuka ooh hata kama hatuna kitu tutaanza hivyohivyo. Boss wenu nae akawaunga mkono kuwa hataki misaada yenye masharti. Leo amesurrender. Njooni mumshangilie tena. [HASHTAG]#Misukule[/HASHTAG].!
Kuna kitu watu hawajui, hizi nchi za western ndio zinashikiria 80% ya kapital yote ya dunia, yaani ikiwemo Europe na Amerika, the rest ndio inabaki kwa mataifa mengine duniani. Sasa utaendelea vipi bila kushirikiana nao? Sisi tulio bakia sana sana tuna malighafi tu, na hatuwezi kufanya chochote na hayo malighafi bila kupata mtaji toka kwa hao watu. Pia kama unataka kupata faida zaidi lazima uwauzie ulicho nacho hao jamaa, kwa hiyo kama unataka kuendelea lazima uingie ubia nao. Sababu lazima ujue kuwa kama unataka kununua kitu chochote sasa hivi duniani lazima uwe na dola au euro za kutosha. Vinginevyo umekwama. Wao wameendelea kivi wanda na kitekonolojia, kwa hilo wapo mbali sana. Ndio maana hata China ili waruhusu waingie kwao na ku investi na sasa china ipo mbali.Lakini kila kinacho zalishwa China kinategemea soko katika hizo nchi.
 
Kweli pesa ni sabuni ya roho..

Magu alitakiwa amuogope Mungu tu kutenda mema hayo yote huwa yanakuja automatic asikuambie mtu ukitawala vizuri utapata misaada bure yenyewe viongozi Wa Africa huwa wababe lakini hauwasaidii Bali huwa kero hata Mo Ibrahim huduwaa tu. Maana ukicheki hamna sababu ya kumbana mtu awazae tu moyoni mwake atakutoa madarakani wakati hawezi ukiongoza nchi vizuri utapendwa na ukiongoza vibaya utachukiwa na ukipanic ndio utaharibu Kama alivyosema Maulid Kitenge... Hasira kwenye kadamnasi ni sawa na mlevi akilewa. Kuku wako huitaji manati utamshika jioni akija bandani kulala...
 
Leo JPM kakutana na Balozi wa EU na kusaini makubaliano ya kupewa msaada wa £205M (takribani shilingi Bilioni 500) kwa miaka5; lakini kwa masharti. JPM amesaini na kukubaliana na masharti hayo ambayo ni;

1. Kuhakikisha uhuru wa habari na uhuru wa kutoa mawazo
2. Kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar
3. Kuguarantee uhuru wa asasi za kiraia
4. Kukomesha tabia ya vyombo vya dola (coersive apparatus) kuwatia nguvuni wabunge.


Ukiwa maskini ni maskini tu na huna UHURU wa maamuzi!!! Adui yako muombee umaskini kwanza kwani njaa itamfika tu na atasalimu amri!!!
 
Wewe na mleta mada mna mawazo kama ya wakimbizi! Mtaendelea kuota ndoto za mabwana wa upande wenu kutawala nchi milele, kama aina ya wafuasi wao wana mawazo kama hayo mnayoandika.

Nadhani hamjui misingi wa uchumi na jinsi Serikali inavyoweka mikakati ya kuongeza fursa za kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja, kikundi, nk.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Mwambie aishi kwa maneno yake.

Aache unafiki.
 
Ukiwa Muongo Usiwe Msahaulifu.
Si huyu huyu alisema Kua "HATUHITAJI MISAADA YA MASHARTI KWANZA NCHI YETU NI TAJIRI"
Ni huyu alisema hayo maneno?au nimemfananisha?
 
Kama wamembembeleza na akawakubalia ili wasimsumbue sumbue, ulitakaje tena!? Na nyie si mlilia na sasa kakubali kwa sababu nchi nayo itafaidika. Na ungeandika masharti yapi waliweka kabla kwa faida yao haswa zaidi ya nchi yetu, na sasa wamebadili. Sio kuandika kiushabiki tu kuchokonoa, huku huyajui ya nyuma ya pazia.

Sheria zitaendelea kufatwa kama kawa, sio mfikiri hayo uliyoyaandika ndio basi mtatanua. Msahau na pia msidanganyane.

Hapa kazi tu

Ni mimi mwananchi ambae sina chama.
 
Leo JPM kakutana na Balozi wa EU na kusaini makubaliano ya kupewa msaada wa £205M (takribani shilingi Bilioni 500) kwa miaka5; lakini kwa masharti. JPM amesaini na kukubaliana na masharti hayo ambayo ni;

1. Kuhakikisha uhuru wa habari na uhuru wa kutoa mawazo

2. Kumaliza mkwamo wa kisiasa Zanzibar

3. Kuguarantee uhuru wa asasi za kiraia

4. Kukomesha tabia ya vyombo vya dola (coersive apparatus) kuwatia nguvuni wabunge.

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Nawasubiri wale vijana wa Lumumba waliomshangilia JPM alipotamka kwamba hatakubali misaada yenye masharti. Kwamba sisi ni matajiri na tunaweza kujitegemea bila kusaidiwa. Mkamshangilia. Huyo mliyemshangilia leo amessurender.

Ameyameza maneno yake mwenyewe. Tulisema suala la kujitegemea ni zuri lakini liwe na utaratibu. Huwezi kuibuka tu na kusema leo tunajitegemea wakati hujaweka misingi. Ni sawa na kudai mtoto wakati hukuwahi kubeba mimba.

Tuliuliza tumejiandaaje? Vijana wa Lumumba mkapayuka ooh hata kama hatuna kitu tutaanza hivyohivyo. Boss wenu nae akawaunga mkono kuwa hataki misaada yenye masharti. Leo amesurrender.

Njooni mumshangilie tena.
Nchi haiendeshwi kwa masharti ya watu wa nje.Nchi inaendeshwa kwa majibu wa Katiba yetu ya mwaka 1977 na si vinginevyo.

Hayo masharti ni yakwao huko huko si kwetu.
Zanzibar hakuna mgogoro Uchaguzi ulishafanyika na Rais ni Dr She in Uchaguzi mwingine ni 2020 na si vinginevyo.

Vyombo vya habari vina Uhuru wake kwa majibu wa sheria ila Uhuru una mipaka kama Serikali haitaacha kusimamia sheria hizo na hata kufungia baadhi ya vyombo vikikiuka sheria ya habari.

Maoni kwa mwanainchi kwa Tanzania ni Hutu toka Uhuru lakini Uhuru wa kuvuka mipaka hapo utapambana tu na Dola lazima Taifa liweke discipline ktk utoaji maoni.

Mbunge hayuko juu ya sheria akifanya makosa yanayostahili kukamatwa na vyombo vya dola atakatwa na kufikishwa mahakani tu kama RAIA mwingine yoyote yule.

Serikali ya Tanzania inaongozwa na watanzania wenyewe na si watu wa nje ya nchi kisa eti msaada.
 
Sasa awaambie na hao maafisa wapya wa TIHARAHEI kitengo cha barabarani wayajue haya wasije kumuangusha.
 
Nchi haiendeshwi kwa masharti ya watu wa nje.Nchi inaendeshwa kwa majibu wa Katiba yetu ya mwaka 1977 na si vinginevyo.

Hayo masharti ni yakwao huko huko si kwetu.
Zanzibar hakuna mgogoro Uchaguzi ulishafanyika na Rais ni Dr She in Uchaguzi mwingine ni 2020 na si vinginevyo.

Vyombo vya habari vina Uhuru wake kwa majibu wa sheria ila Uhuru una mipaka kama Serikali haitaacha kusimamia sheria hizo na hata kufungia baadhi ya vyombo vikikiuka sheria ya habari.

Maoni kwa mwanainchi kwa Tanzania ni Hutu toka Uhuru lakini Uhuru wa kuvuka mipaka hapo utapambana tu na Dola lazima Taifa liweke discipline ktk utoaji maoni.

Mbunge hayuko juu ya sheria akifanya makosa yanayostahili kukamatwa na vyombo vya dola atakatwa na kufikishwa mahakani tu kama RAIA mwingine yoyote yule.

Serikali ya Tanzania inaongozwa na watanzania wenyewe na si watu wa nje ya nchi kisa eti msaada.

Msome tilburg1 hapo juu kama umemuelewa vizuri. Waafrika tuna matatizo sana. Kuna baadhi ya vitu viongozi wetu wanavishupalia hata unajiuliza why wala hupati jibu. Hivi mtu akiimba mashairi yake atakavyoyaimba, nyie viongozi mnaathirika nini? JK aliitwa na dhaifu na hakuchukua hatua yoyote, Je, urais wake ulikoma kabla ya muda wake? Unajiuliza hivi ni lazima kwa Polisi kila aikiongea na raia awe mkali? Je kuna ulazima wowote wa Mwanajeshi kuwa mbabe akiwa nje ya shughuli zake za Jeshi? Vyombo vya habari vikiwa huru, nyie viongozi mnakosa nini? Uwaziri au Urais unakoma? Watu wakikosoa kwenye mitandao kwa maana ya kutoa mawazo yao viongozi wanaathirika nini? Hivi mnapotoa mafedha meeeeengi kuitisha chaguzi halafu chaguzi hizo mnazifanyia usanii, huwa mnamhadaa nani? Unawapanga watu wajiandikishe, wahudhurie kampeni, mchome mafuta kwa kuzunguka nchi nzima, kuwasimamisha watu wenu asubuhi hadi jioni kisha kura wanazopiga mnazihadaa. Kwani msiamue kupitisha Rais mumteue tu na kamati zenu na kisha kuwaambia wananchi? Aaah, mnaboa asee.

For what? Huu woga ni wa nini viongozi wa kiafrika? Hivi nini tofauti ya raia wako akiwa upinzani na chama tawala ikiwa katiba yenu wenyewe mmekubaliana hivyo, tatizo ni nini jamani. Kweli karne hii bado tunasubiri mtu kutoka Ulaya atuambie kulinda uhuru wa habari ndio atupe msaada? Yaani akili zetu haziwezi hata kufanya haya mambo kwa utashi hadi kwa masharti? Why hamtaki kufikiri na kuishi kama binadamu wengine katka nchi za dunia ya kwanza? Huyo tilburg1 ameongea maneno ya point sana. Kuna mambo ambayo viongozi wa kiafrika wanayafanya mpaka unaona aibu.

Hivi matukio kama ya Bashite, Rais anajisikiaje anapokuwa silence, for what?? Who is Bashite au Makonda hata kila kona watu wamuone rais ana double standard kwa kitu kidogo kama hicho? Kweli kiongozi anabeba bunduki anaenda studio usiku kulazimisha kipindi ambacho kikitangazwa hakitasaidia hata mtanzania mmoja kujua jambo mbinu moja ya kuondoa umaskini halafu Rais unamuacha mtu kama huyo ili iweje? Ni nini kinatufanya watu weusi tusiwaze kwa jicho la 3D au 4D licha ya elimu kubwa tunazozipata? Inferiority inatuumiza sana Afrika. Na bahati mbaya tabia hizi zimebaki Afrika tu. Nchi nyingi sasa hivi za Latino na Asia zimeanza kuona madhara ya kutofikiri kibinaadamu.
 
Back
Top Bottom