Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Baadhi ya Maraisi wa nchi za Kiafrika wanakutana mjini Addis Ababa nchini Ethiopia kwenye Mkutano mkuu wa Umoja wa nchi za Afrika, mpaka leo hii Magufuli wetu hajaingia Ethiopia na wala hakuna dalili kama atatia timu kwenye hiyo useless talk shop!
HAPA KAZI TU!