MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
>Mazungumzo yalihusu masuala ya kiuchumi na hasa sekta ya viwanda na uwekezaji.
>Mazungumzo yalihusu utendaji kazi wa kampuni ya simu ya Airtel Tanzania ambayo serikali inamiliki asilimia 40 ya hisa za kampuni ambapo ameeleza utayari wake wa kuingiza kampuni ya Airtel Tanzania katika soko la DSE ili watanzania wanunue hisa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumkaribisha Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise, Sunil Bharti Mittal aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise, Sunil Bharti Mittal mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Sunil Bharti Mittal (born 23 October 1957) is an Indian entrepreneur, philanthropist and the Founder & Chairman of Bharti Enterprises, which has diversified interests in telecom, insurance, real estate, malls, hospitality, agri and food besides other ventures. Bharti Airtel, the group's flagship company is the world's third largest and India's largest telecom company with operations in 18 countries across Asia and Africa with a customer base of over 350 million. Bharti Airtel clocked revenues of over USD 14.75 billion in FY2016. He is listed as the 8th Richest person in India by Forbes with a Net worth of $8 Billion.
In 2007, he was awarded the Padma Bhushan, India's third highest civilian honor. On June 15, 2016, he was elected as Chairman of the International Chamber of Commerce.
Kama humfahamu vizuri, gonga hapa;
Sunil Mittal-Wikipedia
>Mazungumzo yalihusu utendaji kazi wa kampuni ya simu ya Airtel Tanzania ambayo serikali inamiliki asilimia 40 ya hisa za kampuni ambapo ameeleza utayari wake wa kuingiza kampuni ya Airtel Tanzania katika soko la DSE ili watanzania wanunue hisa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumkaribisha Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise, Sunil Bharti Mittal aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise, Sunil Bharti Mittal mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Sunil Bharti Mittal (born 23 October 1957) is an Indian entrepreneur, philanthropist and the Founder & Chairman of Bharti Enterprises, which has diversified interests in telecom, insurance, real estate, malls, hospitality, agri and food besides other ventures. Bharti Airtel, the group's flagship company is the world's third largest and India's largest telecom company with operations in 18 countries across Asia and Africa with a customer base of over 350 million. Bharti Airtel clocked revenues of over USD 14.75 billion in FY2016. He is listed as the 8th Richest person in India by Forbes with a Net worth of $8 Billion.
In 2007, he was awarded the Padma Bhushan, India's third highest civilian honor. On June 15, 2016, he was elected as Chairman of the International Chamber of Commerce.
Kama humfahamu vizuri, gonga hapa;
Sunil Mittal-Wikipedia